Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Najiuliza kulikoni zawadi ya mwaka huu kwa Miss Tanzania 2010 ni gari aina ya Hyundai i10 na fedha 10m cash wakati last year Miss TZ alikamata Suzuki Grande la 60m au ndio kufulia kwa vodacom? au vodacom mwataka kujitoa kwenye kudhamini mashindano haya ya Miss TZ yasiyo na mvutu huku kiingilia kikiwa cha juu sana cha TZS 100,000....?