Jamani, nimekuwa nikitumia JF kujikumbusha nyimbo kadhaa za taarabu, Gospel, Bongo Flava nk. Lakini naona mmeitoa, kulikoni tena? Nauliza maana mwenzenu hapa JF nikama nyumbani vile. Nikiwa huku ughaibuni najipa raha mwenyewe kupitia JF.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.