DASA JF-Expert Member Jan 6, 2011 1,031 301 Oct 1, 2011 #1 Nyimbo za vijana wetu wa Bongo flava hivi ni lazima wabanebane pua, mi huwa nakereka sana. maana huu ni zaidi ya usharobaro ni ushabalala!
Nyimbo za vijana wetu wa Bongo flava hivi ni lazima wabanebane pua, mi huwa nakereka sana. maana huu ni zaidi ya usharobaro ni ushabalala!
mpndz Member Sep 28, 2011 56 23 Oct 1, 2011 #2 1. Soko linataka nini? 2. Kuimba kuliko kubuni (creative)
DASA JF-Expert Member Jan 6, 2011 1,031 301 Oct 2, 2011 Thread starter #4 Mzee said: Kwani lazma usikilize nyimbo zao?. Click to expand... Na wewe ni shabalala nini!