Hili goma lilikuwa ni kali lilipendwa sana kanda ya ziwa na kwingineko nilisikia kuna tajili mmoja wa Kenya aliwatafuta waimbaji wote waliopo hai na kuimba nyimbo zote upya na kuziweka on video...
l
http://youtu.be/4gTAAduiW3Y
Kwa mlio mbali na nyumbani, haijalishi upo Dar na kwenu Kigoma, upo Lindi na kwenu Mwanza au upo Norway na kwenu ni Congo.This one is for you. Enjoy.
T
Wadau na wapenzi wa muziki wa hip-hop tujadili track kali ambazo zinasumbua masikio yetu kupitia redio zetu na macho yetu kupitia Tv zetu:
Mimi napenda hizi zifuatazo:
1.''how to love''- Lil...
Prodyuza na mmiliki wa studio ya Combination Sound, John Shariza a.ka Man Walter amezitaja sababu zilizomfanya msanii 20% kutokwenda kwenye studio yake.
Msanii huyo ambae ameandaa albamu yenye...
CONRAD MURRAY found guilty for supersatar's manslaughter.
The jury deliberating the fate of Michael Jackson's doctor has found him guilty of involuntary manslaughter.
Conrad Murray,58,was...
Hi! Jf,kati ya ferouz,na Tundamani nani mkali wa ngoma za kulialia? Ferouz amelia ngoma kibao,tangu DazNundaz,mpaka alipatoka kivyake..msikie Tunda anavyolia pale Tiptop connetion...
Hakika ile shoo iliyopigwa na muheshimiwa Sugu akishirikiana na Vinega kweli nimemkubali huyu muheshiwa mbunge aliturusha mpaka nimeburudika vya kutosha! Sasa namtaka kijana Ruge akubali yaishe na...
kwa wale ambao hawakupata nafasi ya kushuhudia uzinduzi wa anti virus leo itaruka hewan katika kipindi cha planet bongo cha eatv, ukweli utajulikana na tutajadiri maswala mengi ya msing tu karibun...
wakuu huwa napenda sna documenatry sababu ni syry za ukweli.
Juzi juzi nimetazama documenatry moja ya kusisimua yenye tittle kama kichwa cha habari .
Inasikitisha sababu kijana mdogo sababu...
Have you visited me ? Kids Fun Spots, Shopping areas, Movies, Bar and Lounge, Supermarket etc etc..
Click on the Like button to join the fan page and share with friends and family ;-)
Here is...
Sister P akikamua
Zay B jukwaani
Daz baba akifanya kweli
DJ Sox akifanya mambo yake
Mkoloi akiwa kazini
Mr Simple, Diwani wa Ticket ya CHADEMA
Mashabiki wakipagawishwa
Sugu...
Wakuu sasa nimeamini rasmi kweli kwenye vita ya haki ushindi ni lazima, hii ni kufuatia Tamasha kubwa la Anti Virus with no apology na kufana kupita maelezo, leo kwa mara ya kwanza asubuhi hii...
Dawa pekee inayoweza kuwadhibiti CHADEMA ni kupiga marufuku viongozi na wanachama wao kufikiri. Maana kila mara dola inapojiona imeweza kiukweli ndo inakuwa ndo bado kabisa. Kama ni mechi basi...
Habari zenu watanzania wa kweli. Jana nimewasikiliza vinega kupitia FNL kusema ukweli wamenigusa sana nusura nitoe chozi jinsi wasanii wa bongo wanavyodhulumiwa. Mi mwenzenu leo mapemaaa naenda...
mnyamwez Fabulous
dj ziro
Gangwe mob
THT dancers
Wanaumeeeeeee
Suka na Fella
Barnaba
Afane sele
international stage
nyomiiiiii
Jay moe na mchizi mox
picha zote na...
Wakuu kuna miziki natafuta video au auio zake lakini tatizo sikumbuki majina ya bendi.
Kuna kundi moja na west africa lilipiga muziki huku waadada wakikata mauno kwenye maji. Anyekumbuko ule...
Kama msanii unafanya kazi nzuri,basi itapendwa na itanunuliwa...hata kama clouds wasipoicheza nyimbo yako kama ni nzuri si itachezwa
tu kwingine?! Kama msanii ni
mahiri,mweledi wa taaluma/sanaa...