Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Hivi karibuni kumekuwa na mambo yanayonipa shida kidogo. Utakuta bendi ya muziki inatangaza kuwa itapiga shoo mahali fulani na shoo hiyo itakuwa mpaka majogoo (karibu na asubuhi). Cha kushangaza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana JF, Mara nyingi hua siwaelewi hawa ma dj au ma presenter wanaocheza miziki onair,chakushangaza miziki ya mtoni wanacheza clean version(ambapo watanzania wengi hatuelewi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna wimbo mmoja wa Twanga Pepeta una rap inayosema "bora niwe bachela", unaitwaje? Na upo kwenye album gani? Anayefahamu naomba anisaidie.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
habari zenu wandugu poleni na pilikapilika za xmas, naombeni kujua kama 24 wamesharelease new season katika series yao as nimekuwa nikiona advertisements ITV abt the coming 24 ambayo binafsi hizo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Jana VINEGA wa Antivirus wakiongozwa na kinega mwandamizi SUGU (joseph wa sae),walidhihirisha kuwa hiphop bado ipo juu na haiwezi kufa kama baadhi ya wadau wanavyodai,Vinega waliingia uwanja wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni mji pekee baa na pubs hazifungwi kwa muda uliowekwa kisheria. Polisi wako bize na CDM tuuu na rushwa zinazowafanya wasahau kuwa sheria hii ina maana. Source Mfamaji.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wadau nipo ndan ya mby for x mass nimekutana na show ya aunt virus ambayo inafanyika leo kuanzia saa 10 had saa 6 lakin kutokana na mvua zinazonyesha katika jii hili inaelekea wakapata mswak coz...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni mji pekee baa na pubs hazifungwi kwa muda uliowekwa kisheria. Polisi wako bize na CDM tuuu na rushwa zinazowafanya wasahau kuwa sheria hii ina maana. Source Mfamaji.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Christmas is a day created by capitalists to increase public spending. HALLOWEEN NIGHTS, BEER FESTIVALS, MOTHERS' DAYS ETC ETC. Do we need all those? A peasant unlike celebrities spends an...
0 Reactions
1 Replies
878 Views
Tembelea www.rogers.wen.ru utapata Nyimbo mpyaaaa za Bongoflava,Injili(Gospel),Hip hop. Pia utapata Kaswida,Bakulutu,Nyimbo Za zamani za Bongo and much More Visit www.rogers.wen.ru
0 Reactions
20 Replies
14K Views
http://youtu.be/7BJ7JGTCX6M
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mmmmmmh Ommmmmmmh Aaaaah...Ndipo akataka kujilinganisha na mimi, ndipo akataka kunipanda kichwani, ndipo nilipomshusha thamani ………. Wala simkatazi, sababu ni mie wake mumewe, ila...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wasanii wa Tanzania na Haki Zao....JIFUNZE HAKIMILIKI NA HAKISHIRIKI Bonyeza HAPA
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Fiddy looks skinny in his movie 'things fall apart', ya'll need some weight loss tips holla at Curtis.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa Mheshimiwa Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo. WIZI WA KAZI ZA SANAA. Mheshimiwa nategemea usalama na unaendelea vizuri na kazi. Mimi si mgeni kwako, nimeshafika ofisini kwako...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani kwa mliopo arusha kwenye show ya vinega hebu tupieni maphoto hapa ili na sisi tulio mbali japo tufarijike
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WanaJF, Naomba kupata tafsiri ya nyimbo zilizomo katika albam ya Makhirikiri iliyoandaliwa na Wabotswana. Tafsiri inaweza kuwa ya kiswahili au hata kiingereza. Natanguliza shukrani. MpigaKelele.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
think i lov dis aise, 'll som1 teach me de steps
0 Reactions
1 Replies
992 Views
wakuu wenye kumbukumbu tunaomba maneno ya wimbo huu. awamu ya pili...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Msanii wa kizazi kipya kutoka Arusha maarufu kwa jina la JCB amewaomba msamaha waislamu wote kutokana na kutunga wimbo wenye baadhi ya mistari ya Quran. Kitendo hicho kiliwaudhi waislamu na...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…