PEPONI from famous PARADISE SONG.

PEPONI from famous PARADISE SONG.

Sikonge

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2008
Posts
11,635
Reaction score
6,235
Huu wimbo naona unatesa sana Youtube. Umetoka kwenye wimbo wa Rock maarufu wa Paradise - Coldplay ambao wanaonyesha Tembo (Mtu) anasafiri kuja Africa na kuwakuta wenzake wakila good time in Paradise... Pepo pepo peponi.




Original Song:
 
Last edited by a moderator:
Mwimbaji nasikia ni jamaa kutoka Nigeria YORUBA tribe. Ameimba katika lugha tofauto tofauti za Africa.

Kwa waliotembea wanaweza kujua ni za nchi gani.



Aliyeandika TEXT, ametania kwenye 3:34, hahahaaa.....
 
Last edited by a moderator:
Ah Mkuu Sikonge wewe ni mkali aisee....
Nakukubali sana kwenye hizi Afro-music- urban, jazz, orchestra et al!

Na natamani kuwa mwanafunzi wako pliz...

Hizi ngoma mbili nimezichek, production zake hazijaachana sana, hao waliotoa remix nimewasifu kwa hilo hawajataka ku-divert sana...

Ngoja nitafute taarifa zao zaidi nitafurahi kama siku wakija kwenye "Sauti za Busara"

Kuhusu nyimbo yenyewe imebeba falsafa nzuri kuhusu Afrika "paradisso"...

Cha ajabu ni ngumu kuiona kwenye chaneli za kwetu, hiyo nyimbo sijawahi iona channel yoyote ya hapa bongo...

Kwa hiyo remix nazidi kukubali kuwa music ilianzia afrika lol....

Umenifunika sana ngoja na mimi nikufunike kwa utamu wa "Sauti za Busara" juzi...

Its Fredy Massamba.....
Mkuu Sikonge hapa kuna hazina kubwa sana, hebu msikie kijana kutoka Congo

 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom