mzurimie
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,143
- 3,624
Hivi kwa nini mtu ukitaka kuwapa big 5 hawa wanamuziki wa nchi yetu hii ya Tanzania, mambo huwa hayaendi?
kama wanavyojitangaza? wakisema saa 3 usiku muwepo msikose kumbe ni bomuuuuuuuuuuu
shosti kanitumia ujumbe toka Dar uliingia saa sita usiku unasema shoo haijaanza, duh ningekuwepo na mie ningekuwa nimechoka pia amesema elfu 50 hajui kailipia nini...
haya nalala mie, nitasubiri kuwaonea kwenye viingilio vya chini nikijisikia, wanakoogopa kupigwa wakivhelewa kuanza shoo.
update: naongelea live show ya Diamond - Mlimani City, DSM, tarehe 30/03/2012.
kama wanavyojitangaza? wakisema saa 3 usiku muwepo msikose kumbe ni bomuuuuuuuuuuu
shosti kanitumia ujumbe toka Dar uliingia saa sita usiku unasema shoo haijaanza, duh ningekuwepo na mie ningekuwa nimechoka pia amesema elfu 50 hajui kailipia nini...
haya nalala mie, nitasubiri kuwaonea kwenye viingilio vya chini nikijisikia, wanakoogopa kupigwa wakivhelewa kuanza shoo.
update: naongelea live show ya Diamond - Mlimani City, DSM, tarehe 30/03/2012.