Kulalamika si kujenga.
Hapa tutatizama video za wasanii wa Tanzania (hasa Bongo Fleva), ubora, upungufu na vyote ambavyo vinaweza kuonekana na ikiwezekana kushauri cha kufanya ili kuboresha tasnia...
Wadau hiki kipindi cha "Who wants to be a millionaire on BBC Entertainment" on DSTV nakikubali sana,na ninaamini kwa wale wenye access na DSTV watakipenda pia,nimeamua kushea nanyi wadau,maana kwa...
Wanabodi ninamgeni wangu anataka kwenda mziki lakini live band je siku za kawaida kwa hapa Dar niwapi pazuri kunapigwa mziki wa live kama ya kina kingkiki nakadharika?Nijulisheni tafadhali.
1. Shabba Ranks featuring Cocoa Tea, Pirates Anthem.
Home T Ft Cocoa Tea And Shabba Ranks - Pirates Anthem - YouTube
2. Tevin Campbell, Can we Talk
Tevin Campbell - Can We Talk? - YouTube
3...
Kwa wale wapenzi wa BBA, watch DSTV mambo yameanza live!.
Hiki ndio kile kipindi cha maugomvi nyumbani wengine wakitaka kuushindia ujinga huu kutwa kuchwa, wengine tukitaka kuangalia vitu vya...
Mnakaribishwa katika uzinduzi wa video album ya st augustino choir UDSM main campus itakayofanyika katika ukumbi wa nkrumah siku ya tr 6 yaan jumapili ijayo. Itakuwa ni full burudani kwaya...
Ni Blog mpya hapa Tanzania inayokupasha taarifa tofauti za filamu na wasanii wa filamu ulimwenguni...
Itembelee leo uone tofauti..
Bofya link hii kuingia huko
http://www.syagalove.blogspot.com
Kuna yeyote anayezifahamu nyimbo hizi, na mahali ninapoweza kuzipata?
KAMBARAGE - Sugu (Mr II)
UBINAFSISHAJI - Mr Ebbo
(Wimbo unaoisifia CCM) - Kwanza Unit
Km nimekosea majina ya nyimbo...
Just when DStv audiences thought that they had seen all the incredible twists and turns that mega-hit reality-TV franchise Big Brother Africa could possibly include, M-Nets sensational series has...
Source Clauds Fm
Rich one yule aliyeimba wimbo wa Hatuna kitu na Juma Nature alikuwa akimwibai msanui mwenzake wa Ubongo wa fleva kwa kudivert simu ya Alikiba kwake na watu wanapo omba shoo...
Wadau nilikuwa nikitokea kwenye harakati zangu binafsi nikirejea kwangu,muda niliokuwa napita Mbagala maeneo ya Dar Live ni muda ambao Helicopter iliyokuwa imemchukua Super Star wenu Diamond...
Kilichonifurahisha katika hii video ya Husein Machozi, ni kwamba, jamaa baada ya kutoka jela kwa msamaha wa Rais akiwa kitaa mwenyewe kavaa suspender zake suruwale kifuani, kamuona mshkaji kavaa...
Wapendwa, nipo Dar Live angalau kupunguza machungu ya ufisadi. Hapa mahali pazuri ila mambo yanaanza late. Tuliokuja na watoto wanakuwa hawana cha kufurahia. Wanahitaji kufanya marekebisho angalau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.