wana kijiwe wenzangu ningependa jua hawa khanga mojo wana piga sho wapi ths coming week. cjawahi enda show yao hata moja kusema la ukweli. sasa nataka mauzo ya ugoro wiki hii nikajimwage niwacheki...
Siku ya leo ninakumbukumbu ya muziki wa dansi wa hawa jamaa uliotuburudisha vilivyo enzi hizo. Ombi langu wakubwa ni kupata CD zao nazihitaji sana hasa nyimbo kama Clara, urafiki wa uongo, wifi...
Ndugu wana JF,Ninaomba sana mnitajie sinema alizo igiza Mar.Kanumba ili niweze kuzitafuta maana sikuwai kuwa na Bahati ya kuangalia matoleo yake.
Nimesoma kwenye magazeti kuwa aliweza ku ACT...
Munnaris one of the most famous hill stations in Kerala.Munnar holidays are famous among nature lovers and offer a lot of interesting things forthe tourists.
Oneof the famous tourist places in...
Habari wadau!!
Mwenye kufahamu majina ya movies za ukweli za Comedy ama Action alete majina hapa ili nizishushe tayari kwa kufurahia weekend.
Natanguliza Big Up.
Msanii wa bongo flava roma mkatolik amwaga sir nzito wakat anapokea tuzo za kil music award katka ukumbi wa mliman city jana baada ya kuwafanansha wabongo na punda kaul hio iltolewa na roma huku...
guys how are u humu ndani? Me im gud nimetoka church but leo nilikuwa na wazo hili kuhusu movie ya merlin hope mmewah tazama n walisema season 5 itatoka mwisho wa march so nauliza jaman wenzangu...
Halafu uniambie watanzania tuna akili: Ahadi - 90 Mil, Gharama za Mazishi - 70 Mil, Salio alilopewa mama wa marehemu baada ya msiba - 4 Mil. Yaani mbwembwe zooote za kufanya mazishi ya ufahari...
Poor Lulu the suspected killer of Steven C. Kanumba.
I think the girl was to young to engage in love relationship at the purported 17 years of age. that being the case she didn't knew what...
8 movies per week! every new movies, name it! I must buy DVD, downloading in my pc, using torretents etc.
Could this be addiction? how can I remedy this problem, it is not affecting my...
BB Gout perfume by Koffi Olomide..................BB GOUT perfum perfume de koffi olomide!
Yule nguli wa muziki wa congo simba wa africa Papaa na SEAN JAMES,PAPAA na DELPIRO,PAPA na DIDISTONE...
Msanii aliye katika nafasi ya juu katika medani ya music wa kizazi kipya (bongo fleva) Naseeb a.k.a Diamond ameibuka na tuzo tatu katika mashindano yanayoendeshwa na kuratibiwa na bia ya...
Mwaka huu hizi tuzo zimekuwa powa sana, wanamuziki wengi na wadau waliopata tuzo kwa namna moja au nyingine walistahili sana maana wamefanya kitu kwa mwaka uliopita.
1.Sijaridhika na mwimbaji...
KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS 2012 NOMINEES;
WIMBO BORA WA MWAKA
1. Hakunaga / Suma Lee
2. Dushelele / Ally Kibba
3.Moyo Wangu / Diamond
4.Mathematics / Roma
5. Nilipe nisepe /...
Movie Review
The Mechanic
Does Statham's remake of the Bronson hitman pic hit its mark?
A remake of the 1972 movie of the same name starring Charles Bronson and Jan-Michael Vincent, The...
1. Kukua kwa Muziki wa asili wa Taarab (ukiacha mipasho) na kurudi kwa wanamziki wa zamani wa taarab katika majukwaa ya burudani
2. Kuongezeka kwa ushindani na upinzani mkubwa kati ya Sikinde na...
Nimejaribu kufuatilia juu ya Oliver Ngoma naona kila jina la wimbo wake una herufi nne - Kama ADIA, BANE, SEVA - lakini naona ina herufi nne.
Hii maana yake nini ama pengine alikuwa akifanya...
Hopeless Tanzanians (SOME, NOT ALL), mijitu inalia (HASA WANAWAKE) eti Kanumba (RIP) alikuwa mcheza sinema kafa, hapa Tanzania hakuna mcheza sinema bali mcheza maigizo. Ni michezo ya kuigiza tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.