okay guyz naamini kama umeingia hii post wengi wenu mna experience na hip hop well cha kufanya itabidi utoe freestyle yenye vina vikali MTU ATAKAYESHINDA ATAPONGEZWA VOCHA 2000 KAMA UKITOKA...
Yapata wiki tatu sasa tangu msanii mwenzangu Steven Kanumba aage dunia, na kama ilivyo kwa kila kitu kinapotokea huandamana na kila aina ya maneno na hisia mbali mbali kutokana na mitazamo ya...
Napenda sana nyimbo za michael bolton na dolly parton na nimezidawnload tatizo sijui jinsi ya kufanya nipate nyimbo nzima kwa maandishi,,, nisaidieniiiiiiiii tafadhali
Maneno Ya Mwisho Ya Kanumba Kwa Mama Yake Mzazi
Pichani ni Mama Kanumba anayeitwa Flora Mtegoa
Wakati Taifa la Tanzania likiwa katika majonzi mara baada ya kupoteza moja kati ya vijana wake...
Hii inatoka kwenye filamu ya Amri Kumi:
Sephora:
She was very beautiful,
wasn't she?
This woman of Egypt, who left
her scar upon your heart.
Moses:
Her skin was white as curd,
her eyes green
as...
Hello ladies and gentlemen wa humu ndani.
Vipi week end yenu inakwendaje?
Mim week end yangu iko vizuri sana.Leo sitaki kutoka nataka kutulia nyumbani kwangu niangalie movies tu.
Napenda scary...
nakumbuka enzi zake kina kofi olomide, defao, awilo walitamba sana kwenye tuzo hizo.lady jaydee aliwahi perform na wimbo wake wa machozi:nailazimisha furaha ingawa moyoni na majonzi nani wa...
Unaweza kucheki CV yake David Guetta - Wikipedia, the free encyclopediaa
Jamaa kwa sasa ni kama anaongoza kwa kuproduce track kali zinazowarusha watu na kushika namba za juu katika chati duniani...
Hi am a Kenyan film student and I've been doing a class study on the Tanzanian film industry. I've been able to watch some films but I have a feeling there are better quality films in Tanzania. if...
Naitwa nasmile nau dediketi wimbo wa martha mwaipaja-kwa msaada wa mungu umburudishe Invisible Mzizi mkavu networker nk
karibu na wewe uwasindikize marafik zako hp jf
Jamani marafiki, nauliza jinsi ya kupata wimbo wa Westlife (remixed) unaoitwa 'YOU RAISED ME UP' lakini kwa tafsiri ya kiswahili (siyo rylix yake ya kiswahili).
Km unamfahamu huyo mwimbaji au...
Habari wadau wa mziki!
Natafuta nyimbo hizi kama kuna mtu anazo anitumie au aziattach hapa tuzidownload.
1.BDP--Rudi Mpenzi
2.SOS B----Kukuru kakala zako wewe
3.Jose Mtambo--Wakati wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.