Igabiro
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 242
- 27
Kwa mujibu wa Hashimu Lundenga mwakilishi wa miss tzz anategemea kutafutwa jumamosi hii wakati bado mashindano ya vitongoji yanaendelea...anasema tayari amepata warembo kumi (10) ambao walishawahi kushiriki miss tanzania uko nyuma amboa wanategemea kuingia kambini leo tayari kwa maandalizi. Hii inatakona na msindano ya miss world kutegemewa kufanyika mwizi wa saba katikati.
My take
My take
- Hawa Warembo kumi wamepatikana kwa kutumia vigezo gani?
- Na hawa ambao wanaendelea na miss vitongoji mwisho wao ni kushiriki mashindano gani?
- Muda huu siku mbili tatu tunaweza pata mwakilshi wa kweli kushiriki miss world mwezi wa saba?