Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,333
- 3,896
Jamani huwa najisikia kinyefunyefu kila nikiusikia wimbo mpya wa mwanamuziki BEST NASSO, Narudi Kijijini. Kwa ufupi katika wimbo huo Best Nasso analalamika kuonewa na mpenzi wake wa kike na hivyo anaamua kususa na kurudi kijijini alikotolewa na dame akauze mkaa kama zamani. Hivyo inawezekana mawazo ya Best Nasso yanaweza kuwa yanawakilisha vijana wengi wa kitanzania? Au yale ndo mawazo ya kisharobaro?
sisi tuliopitia jandoni tunaona kama anaudhalilisha ukoo wa kiume.
sisi tuliopitia jandoni tunaona kama anaudhalilisha ukoo wa kiume.