Nimepata barua kutoka kwa Peter Msechu, yah peter Msechu, na yuke rasta wa Arusha sema kaendekeza mademu na Bange ManfildJe ni "BSS" au "RCS" - Rita Cash Search? Kama ni BSS wako wapi hao "mastaa"
waliowasearch miaka ya nyuma? Mbona "vijistaa" vyote vinavyotamba nchini havijapitia
BSS?
Kala Jeremiah
Hakuwa mshindi
tunaangalia kama kuna waliotoka, suala la ushindi kuna kitu kinaitwa bahati kinyume na hap[o ni kuwa kila mwaka Barcelona angekuwa bingwa wa ulaya.Hakuwa mshindi