Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,169
- 3,359
Tofauti na Bongo Star Search ya mwaka jana 2011, BBS ya mwaka huu naona imekosa mvuto tokea ilipoanza hadi hii leo inapokaribia kilele chake hapo tarehe 09. Nov pale katika ukumbi wa Diamond Jubilee.
Nikiangalia washiriki washiriki hawachangamshi na hakuna mashamushamu kama yale tuliyoyazoea mwaka jana na miaka iliyotangulia.
Bado sijaelewa ni ubovu wa washiriki wa mwaka huu au ni ubovu wa chaguzi za baadhi ya nyimbo zao ambazo zinashindwa kuonyesha vipaji vyao???
Nawasilisha kama mtazamo wangu ni wa wengi.
Nikiangalia washiriki washiriki hawachangamshi na hakuna mashamushamu kama yale tuliyoyazoea mwaka jana na miaka iliyotangulia.
Bado sijaelewa ni ubovu wa washiriki wa mwaka huu au ni ubovu wa chaguzi za baadhi ya nyimbo zao ambazo zinashindwa kuonyesha vipaji vyao???
Nawasilisha kama mtazamo wangu ni wa wengi.