Mshindi wa BONGO STAR SEARCH(BSS) Kutoka zanzibar.

Mshindi wa BONGO STAR SEARCH(BSS) Kutoka zanzibar.

fugees

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2012
Posts
2,868
Reaction score
884
Wanajamvi tetesi zilizopo kwa hewa ni kwamba mshindi mtarajiwa wa BSS kwa sasa atatoka zanzibar.wadau mnanaje hili. How these speculations will affect the selected members!
 
Yule binti alieimba wimbo wa Alicia Keys wa Fallin Na akajipigia gitaa??
 
Wanajamvi tetesi zilizopo kwa hewa ni kwamba mshindi mtarajiwa wa BSS kwa sasa atatoka zanzibar.wadau mnanaje hili. How these speculations will affect the selected members!

we do not act on speculations. Mashindano ndo yameanza utajuaje mshindi anatoka wapi? mawazo DHAIFU
 
Yule mdada ametimia aisee na kama ndio propa siasa za Zantel na udhamini ni sawia kabisa kuwa wameshamuandaa yule binti kumnyanyua,ila ana uwezo mkubwa na ameenda shule ya music na vifaa vyake
 
aaah...hamna kitu hata Arusha kuna vyombo vya hatari,na wala sidhan kama atakuwa mshindi. Ila anaweza akaingia top 5..
 
Yule dada sister dread yupo safi sana anajua mziki yes ni mwanamziki anaweza play gitaa! Safi sana!
 
Yule binti alieimba wimbo wa Alicia Keys wa Fallin Na akajipigia gitaa??

ndo inasemekana lakn mshind kwa sasa lazima atoke zanzibar so kama wewe ni mzanzibari upo bss fanya kweli mihela ya kwenu hiyo
 
arusha ilizingua ckuona hip hop hata kidogo
 
we do not act on speculations. Mashindano ndo yameanza utajuaje mshindi anatoka wapi? mawazo DHAIFU

tetesi daima huwa hivo, if u dont act ana always a mentally human being can not act on speculations but he should give attention on such speculations. Angalia uzamini wa zantel af cku nyingi zanzibar ilitengwa na BSS angalia swala la muungano af angalia malalamiko juu ya BSS KWAMBA ET NI YA BARA na kuna wakati kabla hata zantel haijajiingiza kwenye uzamini wa bss wazanzibar walikuwa na mawazo ya kususia pia mwanalie the improparly so calle bss judge salama ni credit kwa wazenji sasa. UPO HAPO. KAMA NA HII DHAIFU BAS WW NDO DHAIFU WA KUFIKIRI. MASIKIO NA MACHO TUNAYO TUSUBIRI MDA UTAKAPOFIKA.
 
Yule binti alieimba wimbo wa Alicia Keys wa Fallin Na akajipigia gitaa??

KAMA NI HUYO WALA HAWATAKUA WANAMPENDELEA!its all about her being a musician wa ukweli ambaye anawafunika sio tu washiriki wa BSS mwaka huu hata mastar wengi kama sio karibu wote wa muziki bongo na kwingine!kama mi ningekuwa jugde nampa tu pale pale kwenye uteuzi,the girl has talentS jamani!
 
ndo inasemekana lakn mshind kwa sasa lazima atoke zanzibar so kama wewe ni mzanzibari upo bss fanya kweli mihela ya kwenu hiyo
its not about the girl being mzanzibari its all about kuwa mwanamuziki deep down her heart,mtaanza kuweka maswala ya muungano,mara udini mara sijui nini semeni yote mtakayosema lakini YULE MTOTO ANAIMBA!KHA!
 
mimi sijui; ila ninatambua kwamba mshindi wa BSS mwaka 2012 ni mwanamke(msichana).
 
twendele lakni jueni kwamba hii thread itarudishwa mshindi atakapo tangazwa
 
Wanajamvi tetesi zilizopo kwa hewa ni kwamba mshindi mtarajiwa wa BSS kwa sasa atatoka zanzibar.wadau mnanaje hili. How these speculations will affect the selected members!

Tumeshakujua dhamira yako. Unataka kuifanya jamii iamini hivyo pindi Zanzibar ikishinda. Sina nia ya kuwatetea BSS. Anyway, habari yako ni tetesi na udaku.
 
Tumeshakujua dhamira yako. Unataka kuifanya jamii iamini hivyo pindi Zanzibar ikishinda. Sina nia ya kuwatetea BSS. Anyway, habari yako ni tetesi na udaku.

nashukuru kujua dhamira yangu message sent ukiona bango limechanwa ujue ujumbe umefika. umeambiwa tetesi af unaanza oh sijui oh tumekujua nini unaogopa kwani kesi acha woga dogo uciwe kama wa kihindi ww. Utaliwa kichwa kungine ohoo.
 
we do not act on speculations. Mashindano ndo yameanza utajuaje mshindi anatoka wapi? mawazo DHAIFU

leo wewe ndio utadhihirisha u mdhaifu!umeshindwa kutofautisha mawazo na taarifa!
 
kama walter anatoka zenji basi nakubalilana na wewe!
 
Back
Top Bottom