Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kama ulikuwepo usiku wa kuamkia leo katika kinyang'anyiro cha kumtafuta Miss Mbeya City Centre tuambie mtazao wako wa shughuli nzima.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ha haaaaa nimeanza kuamini Ladyjaydee katumia akili kutengeneza pesa now eti concert yake anauza tiketi now hadi elfu hamsini huko nyuma hakuwahi kuuza tiketi hata elfu thelathini sikumbuki while...
1 Reactions
41 Replies
4K Views
Wakuu kuna tetesi huku kutoka mwimbajh nyimbo za injili Lewis Raphael(Wa Mufindi)juwa kuwa Diamond ataanza kuimba injli
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wadau kwa wanaofuatilia show ya mkasi vipi wanaendelea kuonyesha new episodes kwenye tv ? Kwa maana sisi tunaoangalia mtandaoni hatupati episodes mpya Thanks wadau
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Naona baada ya leo Clouds kusema kwamba hawatapiga Nyimbo za Bongo Fleva,Times wamesema Wiki hii nzima ni Mwendo wa Bongo fleva tu(Nyumbani ni Nyumbani)na mchana huu namesikia kwenye kipindi cha...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Mtanzania ambaye kwa sasa ni raia wa Uingereza na anayechezea klabu ya Chelsea, Adam Nditi ameiponda show ya Diamond mjini Reading nchini humo na kudai ilikuwa ni aibu tupu. “Diamond jana manyago...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu hizi epsode zinaonyeshwa sana Star Tv nimekuwa nikimsikia wife akifatilia bila me kuielewa mpk aliponisimulia nimevutiwa sana na namna ilivyoandaliwa kuhusu hawa mabinti wawili wa kimasikini...
0 Reactions
18 Replies
7K Views
Habarini ndugu zanguni, katika kujaribu kutafuta what is going on in my life, nimefanikiwa kuanzisha kundi jipya la muziki wa kizazi kipya. Muda huu kundi linajiandaa kurekodi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
wasanii woote wa bongo muda wa kufaidi matunda yenu ni sasa. sioni kama mkiendelea kulalamika kila siku ndo mtafanikiwa. huu siyo muda wakuendelea kulalamika zaidi ya kuungana na kuwa kitu kimoja...
0 Reactions
0 Replies
905 Views
Huyu jamaa yuoo wapi siku izi alinikoshaga sana na ile nyimbo yake ya pain in me..ni kitambo sana sijamsikia sijui yuko wapi sasa iv na anafanya nini..
0 Reactions
2 Replies
3K Views
wimbo wa recho na mwanafa unaitwaje!
0 Reactions
0 Replies
860 Views
(News) Soma barua hii ya wazi kutoka kwa mdau wa muziki nchini "MAFISADI WA MUZIKI: Walio wengi wamezoea kusikia ufisidi katika siasi, viongozi waliokua na uuzo wa tabia na kujilimbikizia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hey Guys....Nairoberry, Livefire, Mwembetayari, and who is that other guy who got me locked up in one malicious ban--I can't even remember his name; anyway I am back: and ready for another big...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
The serene town of Varkala buzzes with activity during the vacation season. A perfect beach escapade for leisure travelers, honeymooners and medical tourists, Varkala has much to bestow. Long...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
ile cinema ya jide dhidi ya ruge na wajanja wenzie inaendela sasa kwa ruge kumjibu jide tegeni sikio kwenye redio cloudsfm sasa Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, hatimaye mmoja wa...
1 Reactions
68 Replies
8K Views
Katika pita pita yangu you tube nikakutana na movie moja ya ki nigeria siikumbuki jina vizuri ila nilishangaa sana kumuona richard wa big brother 2007 ndan ya movie hiyp iliyoambatana na waigizaj...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natamani kupata audio clips za Vipindi vya Radio Tanzania ya zamani vikiitwa Pwagu na Pwaguzi jamani. kama kuna mtu alirekodi mikanda ya vipindi vile, pamoja na taarifa za matukio kutoka Dodoma...
2 Reactions
21 Replies
6K Views
Hakuna style nyingine ya kucheza zaidi ya kwaito?
0 Reactions
0 Replies
722 Views
Soma Barua hii ya wazi kutoka kwa mdau wa BONGO FLEVA. Naitwa Mtanzania Halisi Machungu ! Ninao ujumbe mdogo kwa jamii ya burudani hapa nchini,wiki iliyopita Tuzo za muziki wa Tanzania...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom