Kili Music Awards-wapi Diamond platinuzm?

Kili Music Awards-wapi Diamond platinuzm?

UNDENIABLE

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
2,326
Reaction score
1,315
Hv dogo ndio kashapotea kwenye game au kuna nini?

Duuu siamini kabisa! au ndio ule ugomvi na mganga wake na mganga ameamua kumwonyesha yeye ni nani?

Au ndio dhambi ya mademu wake inamtafuna!

Au na yeye ataibukia kituo kimojawapo cha redio na kumparura km jide na clouds media!

Duuu kichwa kinauma aisee!

Asubuhi mkiamka njooni tuje tutee kuhusu hili!
 
Inawezekana hakustahili kupata tuzo lkn bado anabaki kuwa msanii anayeingiza mapato mengi kuliko wote nchini.So nafikiri dogo bado yupo juu,kumbuka alipochukua tuzo 3 mara ya kwanza 2010 then next year 2011 alikosa lkn mwaka uliofuata 2012 akachukua tena tuzo 3 na mwaka huu 2013 tuzo 1,so lets wait next year then we'll see!
 
Hv dogo ndio kashapotea kwenye game au kuna nini?

Duuu siamini kabisa! au ndio ule ugomvi na mganga wake na mganga ameamua kumwonyesha yeye ni nani?

Au ndio dhambi ya mademu wake inamtafuna!

Au na yeye ataibukia kituo kimojawapo cha redio na kumparura km jide na clouds media!

Duuu kichwa kinauma aisee!

Asubuhi mkiamka njooni tuje tutee kuhusu hili!

Hovyoooo, kwa hiyo hayo macho yako yamemuona Diamond tu, hukuwaona wakina Fid q, roma ,FA etc au nawewe ndo mmoja wa wapuuzi wanaopima ubora wa msanii kwa tuzo zenu za kuangaliana sura?, shameless hata aibu huoni eti ngoja kesho tuje tutete,hata aibu huoni kabisa!
 
Hv dogo ndio kashapotea kwenye game au kuna nini?

Duuu siamini kabisa! au ndio ule ugomvi na mganga wake na mganga ameamua kumwonyesha yeye ni nani?

Au ndio dhambi ya mademu wake inamtafuna!

Au na yeye ataibukia kituo kimojawapo cha redio na kumparura km jide na clouds media!

Duuu kichwa kinauma aisee!

Asubuhi mkiamka njooni tuje tutee kuhusu hili!
KILI YA JANA MAGUMASHI, nadhan wasanii wana kamgomo kama walimu wa TZ
 

[TD="class: phone-number"]

[TD="class: subscribe"][/TD]
[/TD]

Kwa wale ambao hawajaona mashindano ya KILIMANJARO TAZANIA MUSIC AWARDS, washindi walikuwa kama ifuatavyo:

Wimbo bora wa mwaka:
Dear God – Kala Jeremiah

Msanii bora wa Kiume:
Diamond

Msanii bora wa kike: Lady Jaydee

Msanii bora wa kike Taarab: Isha Mashauzi

Msanii bora wa kiume Taarab: Mzee Yusuf

Msanii bora wa kiume Bongo Flava: Diamond

Msanii bora wa kike Bongo Flava:
Recho

Msanii bora wa Hip Hop: Kala Jeremiah

Msanii bora wa kiume Bendi: Chalz Baba

Msanii bora wa kike Bendi: Luiza Mbutu

Msanii bora anayechipukia: Ally Nipishe

Video bora ya mwaka: Baadaye – Ommy Dimpoz

Mtunzi bora wa mashairi Taarab: Mzee Yusuf

Mtunzi bora wa mashairi Bongo Flava: Ben Pol

Mtunzi bora wa mashairi hip hop:
Kala Jeremiah

Mtunzi bora wa mashairi Bendi: Chalz Baba

Mtayarishaji bora wa mashairi muziki wa kizazi kipya: Man Walter

Mtayarishaji wa wimbo wa mwaka – Taarab: Enrico

Mtayarishaji wa wimbo mwaka – Bendi: Amoroso

Mtayarishaji chipukizi wa mwaka: Mesen Selekta

Rapper bora wa bendi: Fagasoni

Wimbo bora wenye vionjo vya asili: Chocheeni Kuni – Mrisho Mpoto ft Ditto

Wimbo bora wa bendi: Risasi Kidole – Mashujaa Band

Wimbo bora wa Reggae: Kilimanjaro – Warriors from The East

Wimbo bora wa Afrika Mashariki: Valu Valu – Jose Chameleone

Wimbo bora wa Bongo Pop: Me an You – Ommy Dimpoz ft Vanessa Mdee

Wimbo bora wa kushirikiana/Kushirikishwa: Me and You – Ommy Dimpoz ft Vanessa Mdee

Wimbo bora wa Hip Hop: Nasema Nao – Nay wa Mitego

Wimbo bora wa rnb: Kuwa na Subira – Rama Dee ft. Mapacha

Wimbo bora wa ragga/ dancehall: Predator – Dabo

Wimbo bora wa Taarab:
Mjini Chuo Kikuu – Khadija Kopa

Wimbo bora wa zouk rhumba: Ni wewe – Amini

Bendi bora ya mwaka: Mashujaa Band

Kikundi bora cha Taarab:
Jahazi Modern Taarab

Kikundi bora cha muziki wa Kizazi kipya: Jambo Squad

Hall of Fame – Institution: Kilimanjaro Band wana Njenje

Hall of Fame – Individual: Salum Abdallah

 
Back
Top Bottom