Katika pita pita yangu you tube nikakutana na movie moja ya ki nigeria siikumbuki jina vizuri ila nilishangaa sana kumuona richard wa big brother 2007 ndan ya movie hiyp iliyoambatana na waigizaj...
Natamani kupata audio clips za Vipindi vya Radio Tanzania ya zamani vikiitwa Pwagu na Pwaguzi jamani. kama kuna mtu alirekodi mikanda ya vipindi vile, pamoja na taarifa za matukio kutoka Dodoma...
Soma Barua hii ya wazi
kutoka kwa mdau wa
BONGO FLEVA.
Naitwa Mtanzania Halisi Machungu !
Ninao ujumbe mdogo kwa jamii ya
burudani hapa nchini,wiki iliyopita
Tuzo za muziki wa Tanzania...
Naombeni msaada wadau, kwa sasa natumia STAR TIMES,lakini kinanisumbua sana kwa kuganda ganda sana mpaka sioni hata raha ya kua nacho, Nilikua nataka labda nichukue ZUKU au DIGITEK au kama kuna...
story yake iko simple arafu movie nzima imeshutiwa kwenye jengo moja mwanzo mwisho, humo ndani sasa ni kichapo, yani brutal fighting scenes...stunts za kufa mtu, unaweza kuiangalia tena na...
​Nawasalim woote!!
Nadhani wadau wa Hip Hop toka kitambo watakua wanalikumbuka hili songi...skumbuki vizuri ilikua released mwaka gani lakini wakati inaanza kupenya maskion mwangu nadhani...
Kwa habari nilizo zisikia ni kua baraza la mitihani wanatakiwa kurekebisha mitihani ya kidato cha nne iliyofanyika mwaka jana na kutoa matokea mabaya,je mchakato huu utazingatia muda kweli,ili...
Hivi karibuni tumetoka kuskia na kuona habari na walaka ulio tolewa na msaani mwanadada Jayd kuhusiana na madudu na unyanyasaji unaofanywa na hiki kikundi cha watu wawili kilicho sajiliwa kisheria...
TASNIA ya filamu nchini inakua ingawa bado ukuaji wake hauna tija kwa wasanii na wadau. Hata hivyo, hali hii isiwe sababu ya kutufanya kulipua kazi zetu, bali tunapaswa kuangalia namna iliyo nzuri...
Wanajamii kwa muda sasa orijino comedy wamekuwa wakirusha segment ya salama condom binafsi siioni kama inajenga maana watu wataacha kuangalia kwa kuhofia kuharibu watoto wao......Naomba mawazo...
Authorities are unsure of the cause of death for the rapper, 34.
Rapper Chris Kelly, left, of the duo Kris Kross, has died in Georgia at the age of 34.(Photo: Paul Natkin, WireImage)
Story...
kwa kibongo bongo EATV,wamajitahid sana naona clouds tv wanakopi sana maujanja ya eatv,sasa wana mpango wa kirusha kipindi mithili ya in da house ambacho kilikuwa kinarushwa na eatv..
Mwanamuziki mahiri nchini Judith Wambura 'Jide' ambaye yuko safarini mkoani Dodoma, Jumamosi iliyopita alionesha kuhofia kutupiwa jini Ruge, baada ya kupita wiki kadhaa tangu azinguane na mabosi...
'heshima wadau...
...ee bwana nimepewa zoezi la kupeleka watu kwanja kwa leo may day ila sjajua ni wapi kwa leo kina-happen wadau nkasema JF hakishindikani kitu ngoja nizame.
Ila sasa kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.