Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Katika pita pita yangu you tube nikakutana na movie moja ya ki nigeria siikumbuki jina vizuri ila nilishangaa sana kumuona richard wa big brother 2007 ndan ya movie hiyp iliyoambatana na waigizaj...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natamani kupata audio clips za Vipindi vya Radio Tanzania ya zamani vikiitwa Pwagu na Pwaguzi jamani. kama kuna mtu alirekodi mikanda ya vipindi vile, pamoja na taarifa za matukio kutoka Dodoma...
2 Reactions
21 Replies
6K Views
Hakuna style nyingine ya kucheza zaidi ya kwaito?
0 Reactions
0 Replies
717 Views
Soma Barua hii ya wazi kutoka kwa mdau wa BONGO FLEVA. Naitwa Mtanzania Halisi Machungu ! Ninao ujumbe mdogo kwa jamii ya burudani hapa nchini,wiki iliyopita Tuzo za muziki wa Tanzania...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani mwenye website ya kudownload hizi nyimbo aweke watu wako wanataka
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naombeni msaada wadau, kwa sasa natumia STAR TIMES,lakini kinanisumbua sana kwa kuganda ganda sana mpaka sioni hata raha ya kua nacho, Nilikua nataka labda nichukue ZUKU au DIGITEK au kama kuna...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
story yake iko simple arafu movie nzima imeshutiwa kwenye jengo moja mwanzo mwisho, humo ndani sasa ni kichapo, yani brutal fighting scenes...stunts za kufa mtu, unaweza kuiangalia tena na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
​Nawasalim woote!! Nadhani wadau wa Hip Hop toka kitambo watakua wanalikumbuka hili songi...skumbuki vizuri ilikua released mwaka gani lakini wakati inaanza kupenya maskion mwangu nadhani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa habari nilizo zisikia ni kua baraza la mitihani wanatakiwa kurekebisha mitihani ya kidato cha nne iliyofanyika mwaka jana na kutoa matokea mabaya,je mchakato huu utazingatia muda kweli,ili...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hivi karibuni tumetoka kuskia na kuona habari na walaka ulio tolewa na msaani mwanadada Jayd kuhusiana na madudu na unyanyasaji unaofanywa na hiki kikundi cha watu wawili kilicho sajiliwa kisheria...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
TASNIA ya filamu nchini inakua ingawa bado ukuaji wake hauna tija kwa wasanii na wadau. Hata hivyo, hali hii isiwe sababu ya kutufanya kulipua kazi zetu, bali tunapaswa kuangalia namna iliyo nzuri...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wanajamii kwa muda sasa orijino comedy wamekuwa wakirusha segment ya salama condom binafsi siioni kama inajenga maana watu wataacha kuangalia kwa kuhofia kuharibu watoto wao......Naomba mawazo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Authorities are unsure of the cause of death for the rapper, 34. Rapper Chris Kelly, left, of the duo Kris Kross, has died in Georgia at the age of 34.(Photo: Paul Natkin, WireImage) Story...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
duh hii tv kwa kuiga balaa,wanajinadi km wanakuja ma kipindi kipya lkn ni copy n paste ya kubamba hile ya Citizen Tv ya Kenya..
1 Reactions
5 Replies
2K Views
kwa kibongo bongo EATV,wamajitahid sana naona clouds tv wanakopi sana maujanja ya eatv,sasa wana mpango wa kirusha kipindi mithili ya in da house ambacho kilikuwa kinarushwa na eatv..
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Tatizo ni kuwa hajapata mtu wa kumwamini kumpa story acheze movie yake/au amuuzie...Je ninaweza kumpata nani ili kumsaidia?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kati ya Steve Rnb na Ben Pol nani mkalii
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mwanamuziki mahiri nchini Judith Wambura 'Jide' ambaye yuko safarini mkoani Dodoma, Jumamosi iliyopita alionesha kuhofia kutupiwa jini Ruge, baada ya kupita wiki kadhaa tangu azinguane na mabosi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
'heshima wadau... ...ee bwana nimepewa zoezi la kupeleka watu kwanja kwa leo may day ila sjajua ni wapi kwa leo kina-happen wadau nkasema JF hakishindikani kitu ngoja nizame. Ila sasa kuna...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom