Wenge Musica Walivyokuwa 1988

Wenge Musica Walivyokuwa 1988

Bingwaman

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2010
Posts
548
Reaction score
288


Hivi ndivyo wanamuziki wa Wenge Musica walivyokuwa mwaka 1988. Wanaohojiwa ni Alain Makaba na JB Mpiana. Wengine wanaoonekana katika video ni pamoja na Werrason, Blaise Bula na Didier Masela.
 
Last edited by a moderator:
Kalay boing ndio wimbo mkali sana waliouimba.

mdau hawa jamaa walikuwawa moto wa kuotea mbali, walikuwa na nyimbo nyingi sana nzuri ila zinazonivutia zaidi ni Kalay Boing, Hi Ho Ha, na Jojo Ngonda sichoki kuzisikiliza.
 
wenge ya akina alan mpela makanda,blaise bula, marie poul,adolf domingize,titi titina alkapon,werason makanda,tutu kaluji,jb mpiana na wengineo ilikuwa sio mchezo.
 
Kwa kweli hili kundi ni Moto WA kuotea mbali mi naikumbuka vizuri toleo Lao Pentagon,lilibamba kinoma.
 
Wenge Musica inanikumbusha mbali sana toka enzi za Kalay boeing hadi ndombolo ya solo
 
Na zi miss sana album zote hadi Titanic. Baada ya hapo hakuna track kiwango kama za hapo nyuma.Hivi sasa Congo hawasikiki tena Africa kwani wameuharibu sana muziki wao.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom