Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
Nilikuwaje mtumwa wa hii miziki ya bongo flava!
siku hizi ni wachache sana wanaweza kutoa nyimbo nje ya za mapenzi na zika-hit....
masikio yetu karibia yatachoka kwa kusikiliaza kitu kimoja tuuuuu....
hata kama tunasema mapenzi yana-run dunia, tuongelee na mambo mengine yanayojili.
kwa wale wapenzi wa ile miziki tukumbushane nyimbo za enzi hizo ambazo tulizipenda sana
cc. Nyani Ngabu, EMT BAK
siku hizi ni wachache sana wanaweza kutoa nyimbo nje ya za mapenzi na zika-hit....
masikio yetu karibia yatachoka kwa kusikiliaza kitu kimoja tuuuuu....
hata kama tunasema mapenzi yana-run dunia, tuongelee na mambo mengine yanayojili.
kwa wale wapenzi wa ile miziki tukumbushane nyimbo za enzi hizo ambazo tulizipenda sana
cc. Nyani Ngabu, EMT BAK
Last edited by a moderator: