MALKIA wa Mipasho Afrika Mashariki, Khadija Kopa amesema baada ya kufiwa na mumewe kipenzi,
Jafari Ally, amegundua kuwa anapendwa na watu wengi tofauti na alivyokuwa akifikiria.
Akistorisha na...
MSANII wa Kundi la Green Masage, linalorusha michezo yake kupitia Televisheni ya TBC, Daniel Mmasi Face Brown amefunguka kuwa redio ya marehemu Ramadhan Mkiety Sharo Milionea aliyoinunua...
Ulisha wahi kutamani kupata wimbo fulani na hujui nani kaimba au huwezi labda kwa sababu ya lugha?
Kwa wale wa nyimbo za ki Congo au za kenya...kwa kiswahili pia tutasaidiana.
Weka Mashairi...
HATIMAYE ALIYEKUWA MSHIRIKI WA BBA TOKA TANZANIA NANDO APOKELEWA NA MAMA YAKE CALIFONIA,ANGALIA PICHA...
Army Nando awasili Los Angeles, California
Mpiganaji Davis Mosha, Edgar D. Mosha...
Komandoo, Anaconda, Lady Jadee
Ebu kionee huruma kizazi cha vijana wanaoangamia kwa biashara ya hao jamaa unaowajua kwa majina na tena una ushahidi wao,
Tuonee huruma wazazi tunaoharibikiwa na...
Siku za hivi karibuni mwigizaji anayefanya vizuri kwasasa katika filamu nchini Niva Zubery amekuwa akiweka status zikimhusu mwigizaji mwenzake Wema Sepetu na baadhi ya mashabiki wa mastaa hao na...
Yule mwakilishi wa Tz Nando ametolewa kwa kosa la kutaka kumchoma kisu mshiriki toka Ghana! hii ilitokea juzi baada yakutofautiana! Dogo alisema mtu kama huyu hasitahili kuishi! na kuamua kuenda...
"SASA NIMEOKOKA.....UJINGA SITAKI TENA"...LULU MICHAEL
MUIGIZAJI machachari wa filamu nchini, Elizabeth Michael Lulu amesema baada ya kupata misukosuko ya kimaisha, sasa maisha yake...
Bondia Evander kupigana Tanzania
Oprah Winfrey kuitembelea Tanzania
R Kelly kuja Tanzania
By Millard Ayo | Wed, 17 Jul 2013
Mwimbaji staa wa dunia Robert Kelly au R. Kelly amethibitisha...
Wasalaam wadau,,huku mtaani naona hizi seriez,nashawishika kuzinunua lakini kwa jinsi season 2 ilipoishia sioni kama kutakua na mwendelezo,,na hata nilipojaribu ku-google sikuona habari ya season...
Umofia kwenu wana JF,
Nimefanya research clouds Fm radio na kugundua kwamba endapo msanii ataenda kinyume na managent{ruge&joe} basi wimbo wowote ambao ametajwa huyo msanii basi wata futa ilo...
Msanii wa filamu bongo,Baby Madaha amefunguka kwamba siku akianza kuona dalili za ugonjwa wa UKIMWI ndani ya mwili wake atakunywa sumu kwa kuhofia kuchekwa na jamii...
KATIKA hali isiyo ya kawaida msanii anayechipukia katika filamu za Kibongo, Isabella Fransis Vai wa Ukweli anamtafuta ubaya gwiji katika tasnia hiyo, Aunt Ezekiel kwa kusema anamtamani mumewe...
"NILIJUA TU KWAMBA WANAFIKI WATAFURAHIA MATESO YANGU" ....AGNESS MASONGANGE
VIDEO Queen ambaye hivi karibuni alidaiwa kukamatwa na madawa yanayosadikiwa ni ya kulevya unga nchini Afrika...
HIZI NDIZO PICHA ZA UGONI ZA NDIKUMANA NA LUCY KOMBA ZINAZOMTESA IRENE UWOYA..!!
LILE sakata la staa wa filamu za Kibongo, Irene Pancras Uwoya kutuhumu kumshika ugoni staa mwenzake aliyemtoa...
Kwenye masuala ya burudani, kampuni ya Prime Time Promotion
ilijipatia zabuni ya Sh milioni 194.7. kumbe nao ni moja wa taasisi zinazoibomoa hii nchi,bse nao wametajwa ktk taasisi zilizo shiriki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.