Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

music is such a field which has became a powerful element, needed for everyone. there is a great saying about music'No Music No Life'.
0 Reactions
0 Replies
865 Views
MALKIA wa Mipasho Afrika Mashariki, Khadija Kopa amesema baada ya kufiwa na mumewe kipenzi, Jafari Ally, amegundua kuwa anapendwa na watu wengi tofauti na alivyokuwa akifikiria. Akistorisha na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
MSANII wa Kundi la Green Masage, linalorusha michezo yake kupitia Televisheni ya TBC, Daniel Mmasi ‘Face Brown’ amefunguka kuwa redio ya marehemu Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ aliyoinunua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
OKAY! Hapa ndipo alipo COPY bwana mdogo BEN PAUL - JIKUBALI
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ulisha wahi kutamani kupata wimbo fulani na hujui nani kaimba au huwezi labda kwa sababu ya lugha? Kwa wale wa nyimbo za ki Congo au za kenya...kwa kiswahili pia tutasaidiana. Weka Mashairi...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
HATIMAYE ALIYEKUWA MSHIRIKI WA BBA TOKA TANZANIA NANDO APOKELEWA NA MAMA YAKE CALIFONIA,ANGALIA PICHA... Army Nando awasili Los Angeles, California Mpiganaji Davis Mosha, Edgar D. Mosha...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Komandoo, Anaconda, Lady Jadee Ebu kionee huruma kizazi cha vijana wanaoangamia kwa biashara ya hao jamaa unaowajua kwa majina na tena una ushahidi wao, Tuonee huruma wazazi tunaoharibikiwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Siku za hivi karibuni mwigizaji anayefanya vizuri kwasasa katika filamu nchini Niva Zubery amekuwa akiweka status zikimhusu mwigizaji mwenzake Wema Sepetu na baadhi ya mashabiki wa mastaa hao na...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Yule mwakilishi wa Tz Nando ametolewa kwa kosa la kutaka kumchoma kisu mshiriki toka Ghana! hii ilitokea juzi baada yakutofautiana! Dogo alisema mtu kama huyu hasitahili kuishi! na kuamua kuenda...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
"SASA NIMEOKOKA.....UJINGA SITAKI TENA"...LULU MICHAEL MUIGIZAJI machachari wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema baada ya kupata misukosuko ya kimaisha, sasa maisha yake...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Bondia Evander kupigana Tanzania Oprah Winfrey kuitembelea Tanzania R Kelly kuja Tanzania By Millard Ayo | Wed, 17 Jul 2013 Mwimbaji staa wa dunia Robert Kelly au R. Kelly amethibitisha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wasalaam wadau,,huku mtaani naona hizi seriez,nashawishika kuzinunua lakini kwa jinsi season 2 ilipoishia sioni kama kutakua na mwendelezo,,na hata nilipojaribu ku-google sikuona habari ya season...
0 Reactions
33 Replies
1K Views
Umofia kwenu wana JF, Nimefanya research clouds Fm radio na kugundua kwamba endapo msanii ataenda kinyume na managent{ruge&joe} basi wimbo wowote ambao ametajwa huyo msanii basi wata futa ilo...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Msanii wa filamu bongo,Baby Madaha amefunguka kwamba siku akianza kuona dalili za ugonjwa wa UKIMWI ndani ya mwili wake atakunywa sumu kwa kuhofia kuchekwa na jamii...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Diamond
0 Reactions
8 Replies
2K Views
KATIKA hali isiyo ya kawaida msanii anayechipukia katika filamu za Kibongo, Isabella Fransis ‘Vai wa Ukweli’ anamtafuta ubaya gwiji katika tasnia hiyo, Aunt Ezekiel kwa kusema anamtamani mumewe...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
"NILIJUA TU KWAMBA WANAFIKI WATAFURAHIA MATESO YANGU" ....AGNESS MASONGANGE VIDEO Queen ambaye hivi karibuni alidaiwa kukamatwa na madawa yanayosadikiwa ni ya kulevya ‘unga’ nchini Afrika...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
HIZI NDIZO PICHA ZA UGONI ZA NDIKUMANA NA LUCY KOMBA ZINAZOMTESA IRENE UWOYA..!! LILE sakata la staa wa filamu za Kibongo, Irene Pancras Uwoya kutuhumu kumshika ugoni staa mwenzake aliyemtoa...
0 Reactions
9 Replies
10K Views
Kwenye masuala ya burudani, kampuni ya Prime Time Promotion ilijipatia zabuni ya Sh milioni 194.7. kumbe nao ni moja wa taasisi zinazoibomoa hii nchi,bse nao wametajwa ktk taasisi zilizo shiriki...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom