HIVI karibuni mwanamuziki Nasibu Abdul Diamond amenaswa akifuturu na hawara yake, Penniel Mungilwa Penny, kitendo ambacho kimewashangaza wengi na baadhi kufikia hatua ya kumponda kuwa...
kwa wafuatiliaje wa muziki wa hiphop kuna album mpya tatu zilizo toka june na july, hapa kuna Born Sinner ya J.cole, Yeezus ya Kanye na MCHG ya Hov.
Kama umesikiliza album zote naomba uniambie...
Habar wandugu?, jaman mwenye album ya jay dee (nothing but the truth) naomba anisaidie, kwa sasa sina uwezo wa kununua iyo album ila naihitaj sana, naomben msaada wenu jamaa, asanten.
WE GLADLY WELCOME!! YOU TO MURTEN STORE LIMITED®
MURTEN STORE LIMITED® NOW OFFER A ANNUAL SALE!!!
We are dealers of all kinds of Mobile Phones Such as Apple Iphone, Blackberry, Nokia, Samsung...
Mi sina mengi ya kuongea, jionee mwenyewe:
nako2nako-hawatuwezi - YouTube
Una neno lolote la kuwaam bia CCM kuhusu uchaguzi wa madiwani Arusha?
Mimi langu ni
WALIJARIBU WALE
Wengi wetu tunaelewa historia ya muziki Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na nafasi ya nchi hiyo katika muziki barani Afrika. Hata hivyo, katika miaka ya karibuni muziki wa Congo umebadilika kiasi...
Mimi na wewe unaye soma uzi huu tunajua kwamba The Heavy Weight MC , Kaka Mkubwa Profesa Jay, hayupo katika good terms na BLAUZ FM. # Team JotoHasira. Basi leo kwenye...
Wana jamvi haya hapa ni mashairi wa wimbo mpya wa Jay z uitwao heaven, wimbo huu umekuwa na maoni tofauti mitandaoni , wengine wakisema ni Muabudu shetani na wengine wakisema sio kweli, Je wewe...
Habari za kusikitisha zilizo nifikia hivi punde, zinasema Msanii Linah kutoka THT naye ameanza kutumia cocaine. Haijajulikana ni sababu gani haswa ambayo imemfanya mdada huyu...
Naomba kujuzwa kuhusu hii bendi kwan nimeona tangazo lao kuwa kila ijumaa watakuwa pale landmark hotel.Nilipata taarifa kuwa mwezi wa ramadhani huwa hawafanyi show,Sasa swali ni kweli hawafanyi...
Vilio na simanzi vilitanda Jumatano iliyopita Mwananyamala Kisiwani, jijini Dar kufuatia mtoto wa mwaka mmoja, Rahim Rajab kufariki dunia kwa kuangukiwa na watu watatu, akiwemo baba yake mzazi...
Bridge : A. Town , hi indo a. town , a town, hi indo a. town.
Chorus : Mungu Nipe A. Town, Mungu nipe acity,
Mungu nipe Arachuga, bongofleva wakituona wana zuga...
Ilikuwa ni albamu babu kubwa, ndani ya albamu hiyo kulikuwa na nyimbo, Sofia ( eeh sory to sofia, i lov you mwanamaaa ), morenita , Aba Guimo, Robin Pretty, Mama Rhoda...
Wakuu shwari? Naomba mtu mwenye novel ya Sydney Sheldon iitwayo Mistress of the Game aniazime. Nilikiona pale Scholastic mlimani city sikuwa na mshiko siku nilipopata nikaenda ninunue nikakuta...
Nilikuwa naangalia interview ya sista duu lulu, daah! kazi ipo, manake hizo posi zimepitiliza, halafu sijui majibu mengine ni ya kukariri, basi michosho tupu! nimeshindwa hata kumalizia...loh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.