Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

HIVI karibuni mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ amenaswa akifuturu na hawara yake, Penniel Mungilwa ‘Penny’, kitendo ambacho kimewashangaza wengi na baadhi kufikia hatua ya kumponda kuwa...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
kwa wafuatiliaje wa muziki wa hiphop kuna album mpya tatu zilizo toka june na july, hapa kuna Born Sinner ya J.cole, Yeezus ya Kanye na MCHG ya Hov. Kama umesikiliza album zote naomba uniambie...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mnakera sana haswa ktk uchambuzi wenu wa magazeti asubuhi manake huwa hamna mpangilio mzuri, gazeti moja tu kipindi kizima?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Naongelea mwenye sauti nzuri, mtiriko mzuri na mwenye tungo kali ndiye awe mfalme. Tusiangalie umaarufu wa magazeti ya udaku
0 Reactions
18 Replies
7K Views
Habar wandugu?, jaman mwenye album ya jay dee (nothing but the truth) naomba anisaidie, kwa sasa sina uwezo wa kununua iyo album ila naihitaj sana, naomben msaada wenu jamaa, asanten.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
WE GLADLY WELCOME!! YOU TO MURTEN STORE LIMITED® MURTEN STORE LIMITED® NOW OFFER A ANNUAL SALE!!! We are dealers of all kinds of Mobile Phones Such as Apple Iphone, Blackberry, Nokia, Samsung...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mi sina mengi ya kuongea, jionee mwenyewe: nako2nako-hawatuwezi - YouTube Una neno lolote la kuwaam bia CCM kuhusu uchaguzi wa madiwani Arusha? Mimi langu ni WALIJARIBU WALE
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wengi wetu tunaelewa historia ya muziki Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na nafasi ya nchi hiyo katika muziki barani Afrika. Hata hivyo, katika miaka ya karibuni muziki wa Congo umebadilika kiasi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi na wewe unaye soma uzi huu tunajua kwamba The Heavy Weight MC , Kaka Mkubwa Profesa Jay, hayupo katika good terms na BLAUZ FM. # Team JotoHasira. Basi leo kwenye...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wana jamvi haya hapa ni mashairi wa wimbo mpya wa Jay z uitwao heaven, wimbo huu umekuwa na maoni tofauti mitandaoni , wengine wakisema ni Muabudu shetani na wengine wakisema sio kweli, Je wewe...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Watch out for this (Wacha filigisi) - BUMAYE!!!!! Weekend njema Wandugu wote wa JF. BAK , upo hapa na kizazi kipya?
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Je unataka kutengeneza hit kwenye bongo fleva, hiphop na n.k? Usipate shaka wasiliana na MTAALAM thru 0753 206165. U WCM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za kusikitisha zilizo nifikia hivi punde, zinasema Msanii Linah kutoka THT naye ameanza kutumia cocaine. Haijajulikana ni sababu gani haswa ambayo imemfanya mdada huyu...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Naomba kujuzwa kuhusu hii bendi kwan nimeona tangazo lao kuwa kila ijumaa watakuwa pale landmark hotel.Nilipata taarifa kuwa mwezi wa ramadhani huwa hawafanyi show,Sasa swali ni kweli hawafanyi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Vilio na simanzi vilitanda Jumatano iliyopita Mwananyamala Kisiwani, jijini Dar kufuatia mtoto wa mwaka mmoja, Rahim Rajab kufariki dunia kwa kuangukiwa na watu watatu, akiwemo baba yake mzazi...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Bridge : A. Town , hi indo a. town , a town, hi indo a. town. Chorus : Mungu Nipe A. Town, Mungu nipe acity, Mungu nipe Arachuga, bongofleva wakituona wana zuga...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ilikuwa ni albamu babu kubwa, ndani ya albamu hiyo kulikuwa na nyimbo, Sofia ( eeh sory to sofia, i lov you mwanamaaa ), morenita , Aba Guimo, Robin Pretty, Mama Rhoda...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wakuu shwari? Naomba mtu mwenye novel ya Sydney Sheldon iitwayo Mistress of the Game aniazime. Nilikiona pale Scholastic mlimani city sikuwa na mshiko siku nilipopata nikaenda ninunue nikakuta...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nilikuwa naangalia interview ya sista duu lulu, daah! kazi ipo, manake hizo posi zimepitiliza, halafu sijui majibu mengine ni ya kukariri, basi michosho tupu! nimeshindwa hata kumalizia...loh...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom