Siku za hivi karibuni mwigizaji anayefanya vizuri kwasasa katika filamu nchini Niva Zubery amekuwa akiweka status zikimhusu mwigizaji mwenzake Wema Sepetu na baadhi ya mashabiki wa mastaa hao na...
Yule mwakilishi wa Tz Nando ametolewa kwa kosa la kutaka kumchoma kisu mshiriki toka Ghana! hii ilitokea juzi baada yakutofautiana! Dogo alisema mtu kama huyu hasitahili kuishi! na kuamua kuenda...
"SASA NIMEOKOKA.....UJINGA SITAKI TENA"...LULU MICHAEL
MUIGIZAJI machachari wa filamu nchini, Elizabeth Michael Lulu amesema baada ya kupata misukosuko ya kimaisha, sasa maisha yake...
Bondia Evander kupigana Tanzania
Oprah Winfrey kuitembelea Tanzania
R Kelly kuja Tanzania
By Millard Ayo | Wed, 17 Jul 2013
Mwimbaji staa wa dunia Robert Kelly au R. Kelly amethibitisha...
Wasalaam wadau,,huku mtaani naona hizi seriez,nashawishika kuzinunua lakini kwa jinsi season 2 ilipoishia sioni kama kutakua na mwendelezo,,na hata nilipojaribu ku-google sikuona habari ya season...
Umofia kwenu wana JF,
Nimefanya research clouds Fm radio na kugundua kwamba endapo msanii ataenda kinyume na managent{ruge&joe} basi wimbo wowote ambao ametajwa huyo msanii basi wata futa ilo...
Msanii wa filamu bongo,Baby Madaha amefunguka kwamba siku akianza kuona dalili za ugonjwa wa UKIMWI ndani ya mwili wake atakunywa sumu kwa kuhofia kuchekwa na jamii...
KATIKA hali isiyo ya kawaida msanii anayechipukia katika filamu za Kibongo, Isabella Fransis Vai wa Ukweli anamtafuta ubaya gwiji katika tasnia hiyo, Aunt Ezekiel kwa kusema anamtamani mumewe...
"NILIJUA TU KWAMBA WANAFIKI WATAFURAHIA MATESO YANGU" ....AGNESS MASONGANGE
VIDEO Queen ambaye hivi karibuni alidaiwa kukamatwa na madawa yanayosadikiwa ni ya kulevya unga nchini Afrika...
HIZI NDIZO PICHA ZA UGONI ZA NDIKUMANA NA LUCY KOMBA ZINAZOMTESA IRENE UWOYA..!!
LILE sakata la staa wa filamu za Kibongo, Irene Pancras Uwoya kutuhumu kumshika ugoni staa mwenzake aliyemtoa...
Kwenye masuala ya burudani, kampuni ya Prime Time Promotion
ilijipatia zabuni ya Sh milioni 194.7. kumbe nao ni moja wa taasisi zinazoibomoa hii nchi,bse nao wametajwa ktk taasisi zilizo shiriki...
Mama mzazi wa Marehem msanii wa bongo movie (comedy) na Bongo Flava Sharomilionea amefunguka kuwa mpaka leo anashangaa hajakabidhiwa baadhi ya vitu vya thamani alivyokua akimiliki mtoto wake...
Mwanzoni nilipoingia club 71 wakati imefunguliwa niliona kama club ya maana kwa watu wastaarabu.Lakini nimeifanyia tathmini na kugundua ni ya vijana zaidi.Vurugu za vijana na madem na ma-DJ wa...
Mwakilishi wa BBA The Chase kutoka Zimbabwe aliyejipambanua kama strong na mwenye msimamo thabiti kiasi cha kupelekea akina Feza kumuogopa kama threat, amekutana na kisanga cha mwaka baada ya...
Wakuu kama kuna mtu huwa anafuatilia hiki kipindi cha Pika bomu cha Startv jumatatu kimetulia sana na mwendeshaji wake mzee Ndashau,ni cha kibunifu na kinaburudisha.
MASHABIKI WAMPONDA WEMA SEPETU BAADA YA KUYAANIKA MATITI YAKE MTANDAONI
Did I miss a spot ? I dunno, ni maneno ya Wema kwenye picha aliyoiweka leo katika mtandao wa Instagram.
Hata hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.