Wadau hili kundi la bongo dar es salaam lilokuwa linaoneshwa tbc1 walikuwa wanatoa burudani nzuri na kuelimisha jamii mambo ya utapeli wewe habari naomba alifahamishe
Wimbo huu unaitwa Andrada, ulitoka mwaka 1996. Mimi nilikuwa darasa la tano wakati huo. Nikisikia wimbo huu nakumbuka vitu vingi sana, nawakumbuka rafiki zangu wa utotoni...
Hii ni orodha ya nchi za kiafrika ambazo raia wake wapo smart sana katika mambo wanayo yafanya. Wanajulikana, kuheshimika na ama kuogopwa sana katika mataifa mengi ya...
MUZIKI ni kazi, mataifa mengi, hususan katika mabara ya Ulaya na Amerika Kaskazini, umewatajirisha vijana wengi.
Angalau sasa, hata Afrika wanapatikana watu ambao wanaitwa mabilionea kutokana na...
HOSTI wa Kipindi cha The Mboni Show kinachorushwa kupitia Kituo cha Runinga cha EATV, Mboni Masimba Jumapili iliyopita aliangua kilio mbele ya Rais Mstaafu wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi...
Inavyosemekana imebaki Hice tu ambayo nayo kesha pewa dalali atafute Mnunuzi. Ofisi nayo inapumulia mashine. kuna mazito ndani ya familia hiyo.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua Xdeejayz...
Mimi sina stress na game, kwanza mimi nina jina kubwa sana nina makampuni ya mbao Mambas Timber,
huko mwanza, Mambas Entertainment na hii Mambas Pub nasonga mbele na maisha. Kwahiyo ningekuwa...
Nani alijua kuwa miongoni mwa nyimbo anazopenda kusikiliza The Bongo Flava Prince Diamond Platnumz ni za Young Killa?
Kwa mujibu wa mchumba wake Diamond, Penniel Mungilwa aka Vj Penny, wote kwa...
VIDEO:CHECK MOVIE YA 'AFTER DEATH' KWA AJILI YA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU KANUMBA,BY JACKLINE WOLPER
Siku ya Kanumba day pale Leaders Club ilizinduliwa movie ya "After Death" kwa ajili ya...
kwa wale wanaosikiliza kipindi cha XXL cha Clouds fm watakuwa wanaifahamu segment ya "YOU HEARD" ambayo mtangazaji wa segment hiyo ni Soud Brown. mara nyingi ukimsikiliza lazima utacheka maana ni...
SIRI nje! Lile skendo la Rais wa Wasafi Bongo, Nasibu Abdul Diamond Platnumz, kudaiwa kulala na mwigizaji Irene Uwoya ambaye ni mke wa ndoa wa mwanasoka wa Rwanda, Hamad Ndikumana Kataut...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.