Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wadau yule dogo aliyedai kuwa ndugu an Diamond katoa Single, kifupi KAUAAAAAAAAA! Jipakulie hapo au isikilize. DOGO S.KIDE-DIAMOND by arungu - Hulkshare DOGO S.KIDE-DIAMOND by arungu - Hulkshare
2 Reactions
14 Replies
14K Views
Mpaka miaka ya kama themanini hivi nchi hii palikuwa na majumba ya kuonesha sinema kama Avalon, New Chox, Empire, Empress, Drive In n.k. kwa Dar es Salaam na mikoani pia palikuwapo majumba hayo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hivi vipindi vingine jamani naomba viangalia utu....maana naangalia hiki kipindi cha huyu uwoya mpaka kimenifanya nimebadilishe Channel. Kama unaamua kumsaidia mtu sio lazima kumjulisha kila...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WANASOKA ULAYA MNAMJUA SANA REFA "HOWARD WEBB",KWA DSM HUYU REFA KIPUNJE,ANACHEZESHA NA PANGA KIUNONI Refa Kipunje akiwa kazini In Summary Pia hata mechi ngumu za Ligi Kuu England au Ligi ya...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
kwa wale wapenda fashion.zicheki hapa picha za brazil fashion kwa watoto.watoto wanaonesha umahili wao katika fashion.click link to follow GERMARTIN
0 Reactions
0 Replies
938 Views
Naomba mwenye nyimbo ya kibaba baba ya makomandoo aniwekee hapa, natanguliza shukrani.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau leo naona ni bora nitoe dukuduku langu kwani nahisi hapa ni mahali sahihi pa kufanikiwa ndoto zangu. mimi ninapenda sana kuimba, na malengo yangu ilikuwa ni kuwa mwanamuziki hapo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
BILA STEPS INAWEZEKANA NA WILLIUM MTITUKwa muda mrefu nimekuwa nikiulizwa sababu ya kuamua kusambaza filamu zangu mwenyewe badala ya kuzipeleka kwa wasambazaji ambao nilikuwa nikifanya nao kazi...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Duuuh, jana nikasema ngoja niangalie BSS maana tangu ianze sijaangalia, nilichokutana nacho niliona aibu mwenyewe maana mtu unashangaa hawa washiriki wametolewa wapi,ni aibu tena kwa television...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Wana jf hivi hili tamasha la fiesta linaloendelea mikoani mnalionaje,maana mpaka sasa hawa jamaa wameshapita ktk jumla ya mikoa 13 na bado wanaendelea na kote huko wanakusanya hela, mimi...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Jana nilikuwa nawatch kipindi cha Salama Mkasi..Huyu Mrembo Joketi alivyokuwa anabehave mbona sikuamini nilichokuwa nakiona?I thought ni Star anayejielewa,ana exposure but naishia kumuona Anacheka...
0 Reactions
88 Replies
11K Views
Salam wakuu, Kwa wale wapenzi wa muziki wa hiphop nafkiri mtakubaliana na mimi kwamba hivi vichwa viwili ni hatari sana katika kuandika nyimbo za ukweli interms of conscious na vilevile hata flow...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
ndugu wanajamvi hasa wapenzi wa muziki wa zamani (zilipendwa) leo nawaleta kwenu moja ya miamba ya musiki Tanzania, si wengine nao ni JAMHURI JAZZ dhidi ya WESTERN JAZZ katika mpambano wa nani...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
naomba mnijibu mnaofahamu,jamaa amewamwagia mshko hawa watangazaji?
0 Reactions
9 Replies
23K Views
Kukatika katika jana kwa matangazo wakati wa mchezo baina ya Simba na Ruvu hakukutokana na ubovu wa vifaa vya azamtv bali Tbc1 ambao wamewahost Azam kwenye masafa yao ili kushirikiana kurusha...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Popular Edo born Nollywood actor and board of internal revenue staff, Flavian Okojie has been shot dead in Benin City by unknown gunmen 3 weeks after his wedding. Flavian and former EBS but now...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
cc Masanilo, Paw, Moderator, Mchambuzi, Ritz, Nyakageni, EMT, Mwana Mpotevu, BAK etc
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni mwanamuziki kutoka Afrika.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
leo nimeamini kuwa'mazoea ni kama sheria'J,pili hii imekuwa nzito sana kwangu sababu kubwa ni kulikosa gazeti''MWANANCHI''gzt pendwa/aminifu zaid kwangu mimi,kinachonisikitisha zaid ni sababu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
0 Reactions
0 Replies
955 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…