Wanamuziki wa Kikongo

Wanamuziki wa Kikongo

Washawasha

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2006
Posts
16,969
Reaction score
13,419
Hawa wanamuziki kutoka nchini Congo huwa wanajituma sana jukwaani,nikiangali nyimbo hii kwenye dakika ya 8:58 namuona repa baada ya kumaliza kurep anamkimbilia mkaanga chipsi(mpiga drum)ili kumpandisha mzuka.
Naomba kujuzwa hao marepa wawili wa huyu mwanamuziki Ferre Gola wanaitwa akina nani?

wadau wa muziki wa kikongo: Sikonge Field Marshall ES,
Nalog off
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, siyo kwamba mie niliishia upenzi wangu na WENGE. Baada ya makundi haya kufa, nilipunguza sana upenzi wangu. Huyu jamaa ndiyo nikiri kabisa kwamba sijamfuatilia kabisa kwa karibu na hivyo siwezi kukupa majina ya hao jamaa. Hata hivyo asante kwa video.

Tatizo kubwa kwa hawa Wanamuziki wengi wa EX-Wenge ni kuwa hawana UONGOZI mzuri inavyokuja kwenye STAGE. Wanafanya vitu vingi kwa kulipua. Wanakuwa kama watu waliozoea kuongozwa. Ukiangalia mara nyingi, jamaa anafanya vitu kwa kuangalia kushoto na kulia aone kama amepatia. Nenda kamuangalie Mzee Nyokalongo, anacheza na kuimba bila kuangalia kushoto wala kulia kwa sababu ana uhakika hakuna anayekosea na yeye pia hakosei....

Ila nakubaliana na wewe kuwa Wacongo wakiwa kwenye STAGE, wanajituma si kawaida.....


Hawa wanamuziki kutoka nchini Congo huwa wanajituma sana jukwaani,nikiangali nyimbo hii kwenye dakika ya 8:58 namuona repa baada ya kumaliza kurep anamkimbilia mkaanga chipsi(mpiga drum)ili kumpandisha mzuka.
Naomba kujuzwa hao marepa wawili wa huyu mwanamuziki Ferre Gola wanaitwa akina nani?

wadau wa muziki wa kikongo: Sikonge Field Marshall ES,
Nalog off
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, siyo kwamba mie niliishia upenzi wangu na WENGE. Baada ya makundi haya kufa, nilipunguza sana upenzi wangu. Huyu jamaa ndiyo nikiri kabisa kwamba sijamfuatilia kabisa kwa karibu na hivyo siwezi kukupa majina ya hao jamaa. Hata hivyo asante kwa video.

Tatizo kubwa kwa hawa Wanamuziki wengi wa EX-Wenge ni kuwa hawana UONGOZI mzuri inavyokuja kwenye STAGE. Wanafanya vitu vingi kwa kulipua. Wanakuwa kama watu waliozoea kuongozwa. Ukiangalia mara nyingi, jamaa anafanya vitu kwa kuangalia kushoto na kulia aone kama amepatia. Nenda kamuangalie Mzee Nyokalongo, anacheza na kuimba bila kuangalia kushoto wala kulia kwa sababu ana uhakika hakuna anayekosea na yeye pia hakosei....

Ila nakubaliana na wewe kuwa Wacongo wakiwa kwenye STAGE, wanajituma si kawaida.....


Nashukru kwa majibu yako Mkuu ngoja nijionee mwenyewe kwenye hii video.
Nalog off
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom