kwanin star Tv hawajaimalizia ( My Eternal ) epsode 203

kwanin star Tv hawajaimalizia ( My Eternal ) epsode 203

Surgical Blade

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
349
Reaction score
16
My eternal ina epsode 203 lakn
Star Tv, hawajaifikia, hata epsode ya 100,
walikuwa wanatuzingua au vp?
 
Mmmh siiilifika mwishoo lakini au ndoo ilitakiwa ifikie vile nakuishia palee so ulitakaa iendempaka uko ingepoteza ladhaa yake kunaiyoo nyingine yawa toto wamama saiv ndoo tuiangaliee iyo!
iwekwe kapuni tuu?
 
sio kweli, kama we nimfuatiliaji,
Kaangalie vipande You tube utaona
Daniel na Katerina Wanakufa.

Mi nimekujibu suala la why Episodes hazijafika 203. Wao Episodes zao ni za nusu saa but Star TV walizionyesha kwa karibia lisaa limoja.

Ok, ina ile harusi mwishoni ni kiini macho??
Au kifo ni baada ya harusi?
Jamaa mmoja ananiambia eti walioania peponi/akhera pale mwisho.
 
msituharibie ladha ya hiki kitamthilia jamani ndio kwanza kina epi 13 acheni tukifatilie mdogomdogo wengine hatukukiona
 
Mi nimekujibu suala la why Episodes hazijafika 203. Wao Episodes zao ni za nusu saa but Star TV walizionyesha kwa karibia lisaa limoja.

Ok, ina ile harusi mwishoni ni kiini macho??
Au kifo ni baada ya harusi?
Jamaa mmoja ananiambia eti walioania peponi/akhera pale mwisho.

sasa kaka kuna vipande, vingne hawajaonesha,
kama #Daniel anapopigwa risasi na #Tomas , nakufia juu ya kaburi la #katerina baada ya hapo ndipo wakaenda kula maisha peponi,
hata kama wangeonesha kwa masaa mawili, bado wasingemaliza!.
 
Nilifuatiliaga hii kujua idadi ya epsodes na maoni ya watazamaji,nilichogundua ni kuwa watazamaji wengi hawajazifuhia epsodes zilizofuata baada ya ndoa ya Daniel and katarina.,Wale actors ambao wanawavutia watu kuangalia hiyo tamthilia wanakufa na wale wabaya wanaishi(tom atakua gerezani ila atapata faraja toka kwa mchumba wake,magret atoka gerezani).,kwa maoni ya watazamaji walio wengi wameiponda
 
mie mwenyewe nimeiangalia youtube nahic star tv wameikatisha.vp tamthilia mpya haijaanza waliokuwa wanaitangaza?
 
zile epsodes za,
You tube ni vipande vipande 2,
ingieni jukwaa la Tech&gadgets,
#Mwl .RCT
Anaziachia kutoka torrerant kwa wanaoweza wakapakue!
 
sio kweli, kama we nimfuatiliaji,
Kaangalie vipande You tube utaona
Daniel na Katerina Wanakufa.

alichokuambia huyo jamaa hapo juu ndio ukweli ulivyo,star tv walikuwa wanakata sana matukio,pia hii tamthilia ilikuwa na mwisho mbili,moja ambayo ni ya furaha ambayo ndio Star tv wameionyesha na nyingine ndio hiyo yenye mwisho mbaya ambao Daniel na Catherina wanakufa ambayo kimsingi waonyeshaji star tv waliona ingewaboa/kuwaumiza watazamaji
 
Back
Top Bottom