Kolabo ipi ni kali kwako?

Kolabo ipi ni kali kwako?

GABRAISON5

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2013
Posts
208
Reaction score
44
Wasanii hupenda kushirikishana ktk nymbo zao na kufanya kitu kizuri kwa fans wao zipo kolabo nzuri zilizofanyika kwenye industry kwangu mm the best ni ya solothang alowashirikisha afande sele na prof jay mtazamo we yako ni ipi?
 
Wasanii hupenda kushirikishana ktk nymbo zao na kufanya kitu kizuri kwa fans wao zipo kolabo nzuri zilizofanyika kwenye industry kwangu mm the best ni ya solothang alowashirikisha afande sele na prof jay mtazamo we yako ni ipi?

JCB Feat Arusha All Stars -----ARUSHA
 
1.Mark T Ft Juma Nature nakupenda
2.Ngwea Ft Fid Q CNN
3.Mchizi wangu remix
 
ukisikia paaah-jcb feat fid Q,chid benz.
 
Wasanii hupenda kushirikishana ktk nymbo zao na kufanya kitu kizuri kwa fans wao zipo kolabo nzuri zilizofanyika kwenye industry kwangu mm the best ni ya solothang alowashirikisha afande sele na prof jay mtazamo we yako ni ipi?

Umeua bro, hakuna tena kama ile...
 
mwanafalsafa&jay moe- ingekuwa vp
yp,chege,temba,ferooz-twenzetu
ay,fa,ray c,banana-safi hiyo
 
Jcb,fid q,jmoe,na chid benz-ukisikia paa
Babu,langa na mchiz mox- kimbia
Hashim dogo na kalapina- tunasonga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom