nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,685
Habari zenyu bhana?
Nitapenda kujadili maana ya "NO WOMAN NO CRY" ambayo ni title iliyobeba maudhui katika wimbo huu wa Bom Marley.
Wengine hutoa maana ya kua (nanukuu) "Hakuna/pasipo na mwanamke, hakuna kilio."
Ila wengine wametafsiri kua (nanukuu) "mwanamke hapaswi kulia"
wenzangu mnatafsiri gani juu ys title ya wimbo huu?
Nitapenda kujadili maana ya "NO WOMAN NO CRY" ambayo ni title iliyobeba maudhui katika wimbo huu wa Bom Marley.
Wengine hutoa maana ya kua (nanukuu) "Hakuna/pasipo na mwanamke, hakuna kilio."
Ila wengine wametafsiri kua (nanukuu) "mwanamke hapaswi kulia"
wenzangu mnatafsiri gani juu ys title ya wimbo huu?