Sijui kama bongo kuna wanazi wa mieleka kama ilivyo kwenye soka.
Hii ni kwa sbb sioni linajadiliwa kama michezo na burudani zinginezo.So kwa mwenye updates (kama yupo) atujuze kinachojili kunako...
Wale wadau wa ulimbwende......tukutane hapa saa hii.....
Ndio sasa mambo yapo jikoni.....Star TV......sijui nani atachukua........
huku tukisubiriu Miss World hapo tar 28 Sept..........tusuuze...
mi napenda sana hizi movies, kama nawe unapenda basi tushee pamoja zile kalikali.
nianze tu kidogokidogo
1. conan the barbarian. ni movie ya 2011. inamapigano ya ukweli, full maadventure na...
Wakati huo tulipokuwa tunasoma msingi miaka ile ya 80 kulikuw na michezo maarufu sana mashuleni na nje ya shule, nakumbuka kila shule ilikuwa na kikundi cha sarakasi ambacho kingeweza kwenda hata...
Kuna nyimbo mwenzenu nashindwa kuzisahau. Ni zile nyimbo tulivu zile enzi kabla ya vita ya Kagera na soda za Potelo? Em tukumbushane jamani...vijana wenzangu wa zile enzi za Simba Grill.
Mimi...
MSANII WA HIPHOP AMEZINGIRWA NA ROHO YA UMAUTI.
Mimi Vimvitae Lignumvitae, kutoka Taasisi ya Ungo Afrika, nikiwa katika maono yangu ya kiroho, nimeiona aura ya msanii Curtis...
BONGO MOVIE BADO SAAAAANA!
* Kuvaa uhusika sifuri.
* Kuvaa uhalisia sifuri kabisa.
Nimetoka kutazama movie ya kibongo, kwenye hiyo movie kuna scene jamaa anaenda kumuona...
Kwa muda mrefu nimekuwa nikiulizwa sababu ya kuamua kusambaza filamu zangu mwenyewe badala ya kuzipeleka kwa wasambazaji ambao nilikuwa nikifanya nao kazi kwa muda mrefu, yaani kampuni ya Steps...
Naomba kuwaambia watu wa Clouds #Ruge #Mpoto #Maganga #Fiestateam sisi watu wa Kusini Mtwara vs Lindi tunazijua Fursa na ndomana hatutaki Gesi itoke ili wawekezaji waifuate Mtwara kuja...
kwa yoyote aliyewahi kuiangaliaa hii tamthlia ya kikorea naomba unijulishe ntaipata vp? Coz nimehangaika kuisaka ili nii download nakutana na link ambazo zipo complicate sana .....hii tamthlia...
Kutokana na the komedy kupoteza mvuto ni bora kuangalia epiq bongo star search angalau unaweza angalia na watoto na ukacheka sababu ya waimbaj comedy. .masanja n ua team JIPANGE,
wasiomjua sir norman wisdom..huyu ni comedian wa enzi zile za miaka ya 1945 ni mcheshi zaidi ya charley chaplin ( mtazamo wangu)..ana movie kama UP IN THE WORLD, A STICH IN TIME na nyingine nyingi...
Habarini wakuu,hii tamthilia naifuatilia kwa karibu japo imeanza kuniboa kias flan,inaonyeshwa na star tv,kama kuna mtu anaweza nsaidia pakuipata full yote kwa sasa,au anieleze tu mwisho wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.