Msanii hard mad ametoa single yake mpya aliyoiita NAISHI GHETO,mad aliyevaa uhusika wa YAHAYA kajibu maswali yote na vijembe alivyorushiwa na jide.
Msanii hard mad ametoa single yake mpya aliyoiita NAISHI GHETO,mad aliyevaa uhusika wa YAHAYA kajibu maswali yote na vijembe alivyorushiwa na jide.
Dnt attack.. inawezekana wamekubaliana na Jide kufanya hivyo ili wauze.. music is da bznes!
no one know inn-story!
Kama alishafuria asitegee kupata kick kwa mgongo wa Jide amefuria.
Nakelwa sana na wasanii uchwara kama hawa wa kudandiadandia vitu, hana tofauti na yule bwegge anayejifanya ni mdogo wake Diamond eti kaibiwa nyimbo na Diamond wakati Diamond ana nyimbo zaidi ya 100.
wimbo mbovu bora angenyamaza?Msanii hard mad ametoa single yake mpya aliyoiita NAISHI GHETO,mad aliyevaa uhusika wa YAHAYA kajibu maswali yote na vijembe alivyorushiwa na jide.
Kama alishafuria asitegee kupata kick kwa mgongo wa Jide amefuria.
Nakelwa sana na wasanii uchwara kama hawa wa kudandiadandia vitu, hana tofauti na yule bwegge anayejifanya ni mdogo wake Diamond eti kaibiwa nyimbo na Diamond wakati Diamond ana nyimbo zaidi ya 100.
dah mkuu una matatizo sana R na L eeh?!!
kufuria - kufulia
nakelwa - nakerwa
kiroho safi
katafute bwana facebook hapa hatupendelei matendo ya ushoga.
Kama alishafulia SIO alishafuria
Nakerwa SIO Nakelwa
Kiswahili ni lugha yako ya Taifa lakini bado tu kinakupiga chenga kama Nyang'au, unapotakiwa kuweka R unaweka L na unapotakiwa kuweka L una weka R
andika kiswahili wewe mbumbumbu