Habari zenu wakuu! Naomba kujuzwa wapi naweza kujirusha Leo? Sikuwa dar kwa muda kidogo,Nimerud na nina hamu ya kwenda music waungwana! Music wa bend km twanga pepeta,Extra bongo,FM academia na km itashindikana kabisa japo jahazi nitakwenda. Ombi langu ni kupata ratiba ya moja kati ya hayo makundi. Nipo ubungo Please kwa anayejua!!!MSAADA WENU UNAHITAJIKA PLEASE!