Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

samahan wakuu, aina ya mziki ninaouzungumzia hapa ni ule kama unaopigwa na akina GYPTIAN,DEMARCO,CHRIS MARTIN N.K kuna hizi nilizonazo sasa CHRIS MARTIN-PAPER LOVIN MAVADO-DESTINY...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Magwiji Tabu Ley na Dr Nico ambao walikuwa bendi moja miaka ya 1960 walipiga shoo ya pamoja 1981 jijini Kinshasa. Hii ni baada ya mchawi wa solo Dr Nico kuvumishwa kafariki. Hata hivyo, Dr Nico...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Members wa JF mjipakulie kitu adimu na kikali kabisa kutoka kwa Hayati Le seigneur Ley; Tabu Ley. Pakua hapa. Download unrar (tumia winrar)Pasword tabuley.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
ENJOY MUSIC WA DISCO 2013 DISCO MUSIC 2013 CPS FINAL
0 Reactions
0 Replies
782 Views
WAKATI DUNIA IKIOMBELEZA KIFO CHA SHUJAA NELSON MANDELA MIMI BINAFSI NILIMFAHAMU HUYU MWANAMAPINDUZI MWAKA 1983 SIKUMBUKI TAREHE ILA ILIKUWA MWEZI WA SITA, ILIYOKUWA REDIO TANZANIA DAR ES SALAAM...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari mabestitooooooooooooo Marafiki wachague mwanamziki bora bendi bora na waimbaji bora wa mwaka huu 2013 karibuni uwanja wenu mabestito
0 Reactions
0 Replies
864 Views
Tanzania inaorodha ndefu ya vivutio vya utalii ambavyo vinasimamiwa kikamilifu na Shirika la Hifadhi za Taifa la Tanzania (TANAPA) lakini kuna ambazo zinafaa kutembelewa wakati huu wa sikuu kuu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwishoni mwa mwezi wa October, Rhys Torrington, CEO wa Azam TV, aliitisha press conference na kuahidi kuwa wangeanza kuuza ving'amuzi 'katikati ya mwezi November' na kuwa Azam TV ingezinduliwa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
http://youtu.be/x0IqNxQUGL8 Nimeipenda hii hata kwa sisi wazee inasaidia kuondoa vitambi!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
"...usifikiri nimekukataa, mimi ni wako wa daima, uyasahau yale wanayosema, shaka ondoa ninakwambia, ubora wa mtu ni tabia, uzuri wa mtu si shani."
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Kwa wapenzi wa stand up commedy, leo ndio show ya mwisho wa mwaka iliyoandaliwa na Evans Bukuku (Vuvuzela Co. Ltd). kutakuwa na wachekeshaji wa ndani na wengine kutoka kenya na nigeria.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Tungo hiii muumbaji wa kike anaitwa nani na wimbo huu unaitwajee yeyote wimbo umetoka muaka ya 2000 ---2005 Tutulie mpenzi wangu, mimi wako daima, wasikutishe kwa maneno, mimi ni wako daima
0 Reactions
4 Replies
8K Views
Testamao ya Pascal-Emmanuel Sinamoyi Tabu! RIP one of my day-life musician ever ! The voice of lightness ! Tuta kukumbuka kwa vitu vyako vikali kama Mase, kaful mayay, Muzina, Mokolo...
4 Reactions
6 Replies
2K Views
Amo Blaze 'Foko Jembe'. Mwenye kujua huyu jamaa alipo anijuze. Dah mchizi kitambo sana alikuwa anafanya vizuri sana kwenye radio. Sauti nzito n anaujua muziki pia. Ningefurahi ningemsikia tena...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
http://www.mg.co.za/articlePage.aspx?articleid=322400&area=/breaking_news/breaking_news__national/ Lucky Dube shot dead in Jo'burg Mail & Guardian Online reporter and Sapa | Johannesburg...
0 Reactions
48 Replies
11K Views
Nimeikuta mtandaoni nami naileta kama ilivyo: Few minutes ago, mwanamuziki LADY JAYDEE ametangaza kujitokeza kwa msanii ambae anadai alishafanya single yake ya sasa inayojulikana kama JOTO...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
leo ndio hawa jamaa kulwa na Doto wanatumbuiza mamia ya wana Dsm,kwa sisi tulio mikoani tunaikosa burudani hiyo. Wale mnaohudhuria show hiyo tupeni UPDATES ya kinachoendela kutoka huko. Picha za...
0 Reactions
117 Replies
27K Views
Mpaka muda fainali hazijaanza, Tbc wanachofanya tangu saa tatu Usiku ni kupitisha ujumbe kwenye luninga kuwa fainali zitaanza muda wowote Ngoja tusubiri lakini inaelekea kuna shida mahali
1 Reactions
121 Replies
17K Views
Nyimbo za bandi zetu za zamani zilizofanyiwa remix kama makumbele ,watoto wamekuja juu,tulizaliwa wote kijiji kimoja na nyingine nyingi zikiwa kwenye non stop ya 79 min link ya kudownload hii...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
RIWAYA:BALAA MTUNZI: Ibrahim GAMA SEHEMU YA KWANZA “Mahabusu na Wafungwa simamaaaaa, kofiaaaaaa towaa! Selo salama kabisa Bwana mkubwa , tupo tayari kwa mafungio. Tunafungiwa mahabusu mia...
1 Reactions
0 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…