Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

"Mwenyezi Mungu muweza wa kila jambo ndiye aliyetupa fursa ya kuushuhudia Mwezi wake mtukufu wa Ramadhan, si kwa ujanja wetu Bali ni mapenzi yake tu. Nafungua kinywa changu kukiri na kusifu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwaka 2010 kuna mchezo wa radio ulivuma sana uliitwa WAHAPAHA.Nautafua series zote kama kuna mtu anaweza upata au anajua namna ya kuupakua anijulishe plz.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
KWA WIMBO HUU WALIO UTOA, WANASTAHILI KUASAMEHEWA KODI..( THEY HAVE TO BE EXMPTED FROM TAX )..JUST LISTEN DOWNLOAD NA SIKILIZA WIMBO MPYA: KALA JEREMIAH FT NEY WA MITEGO & MO MUSIC -...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wadau hope mnaendelea vizuri na majukumu ya kila siku, kwa yeyote mwenye mixtape yeyote ya DJ JD tafadhali naomba aniwekee hapa. Jamaa ni mkali sana kwenye disco joking. Nakumba kipindi cha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wazee vipindi vya clouds vinanivutia sana mpaka wakati mwinginee nashindwa kuzima redioo lkn je ni mtangazaji gani anakuvutiaa sanq na kipindi chakee?
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Jamani usiku huu nimeangalia move moja, nimefarijika sana. Lkn sikupata jina la move. Lakini ni move lililorekodiwa mbuga za wanyama, ikihusisha game ranger, majangili, watalii na wenyeji. Wote...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Hi,habari zenu ndugu zangu, Naomba kwa mwenye ufahamu anisaidie...ninataka kuwa kwenye bendi ya muziki....bendi kama zile za msondo,the spirit ya vitalis maembe..nadhani utakua umepata picha...ila...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Funny moments ?? Do you remember if have any?? Please let me know through this discussion i have to do an assignment on FIFA world cup 2014 about people's reviews.
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Leo mweusi Joh Makini amerelease ngoma mpya inaitwa I See me. Kwa mtazamo wangu naona kijana anajitahidi ku maintain na kwenda kimataifa zaidi.
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Kweli nimeamin huu msemo wa "maskini jeuri" ubakie kuwa msemo tu! kamwe usiuweke kwenye akili, kwajins hawa jamaa (mapacha) walivyokua waki'idis cLouds media group kwa matusi kbao tena ya nguoni...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Download | Joh Makini - I See Me (Najiona Mimi) [Audio] johMakini Produced by Nahreel - NOLNIZ Sent from my iPhone using JamiiForums
0 Reactions
2 Replies
46K Views
Siri ya Mchezo -Fid Q ft Juma Nature (Hassbaby Blog) by Abby Hass - HulkShare Napenda real hiphop. sio wauza sura na wabana pua. Kuna Vipaji vya ukweli kwenye bongo hip hop. Kuan Fid, Niki wa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Zilipendwa ni nyimbo fulani nzuri za miaka kadhaa nyuma...kulikuwa na bendi kama sikinde,msondo,Dar Jazz,Kilwa Jazz na nyingine kibwena.. kwa mtazamo wako unadhani muimbaji gani ndie bora zaidi...
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Hbr zenu wana jf Kuna wimbo naupenda sana unaitwa "usiende mbal" cjui ni wanan? Ila ben pol ameshilikishwa msahada wenu pliz
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nasikiliza wimbo wa Kikosi cha mizinga unaitwa Usipime wameimba na TID pamoja na Saigon, Humu ndani wanadai Kinondoni ndiyo waasisi wa huu muziki!! Wanaijua vizuri historia ya muziki unaoitwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kifupi jamaa anafanya vizuri., lakini kwa kusema ni mzungu afu yeye bado ajakombolewa kifikra.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
JAMANI KUMBE LEO NI MAADHIMISHO YA SIKU YA MAGEREZA(MAGEREZA DAY) TAARIFA YA HABARI ITV, IMENITOA MACHOZ BAADA YA KUWAONA BABA NA MWANA WAKIPAFOM WIMBO WAO WA "SEAH" EEe tuwaombee hawa wasanii...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Huu ni mtazamo wangu kama wote tunasikiliza nyimbo za hawa wasanii utajua kweli walikikuwa nauzalendo wa kweli WAUGUZI wagosi wakaya tanga kunani uhamiaji mimi nadghani hawa nio wazalendo kwa...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wadau hii ni filamu nzuri sana inayoelezea maisha au harakati zisizofanikiwa za magaidi wa Arab world. Imechezwa na Don Cheadle. Hakika utaipenda
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom