Clouds FM yatajwa katika orodha ya vituo bora Afrika

Clouds FM yatajwa katika orodha ya vituo bora Afrika

Nukta5

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2014
Posts
1,192
Reaction score
1,315
Licha ya kuwa ni radio yenye kuchukiwa na wengi kwenye mitandao ya kijamii Radio Clouds Fm ya Tanzania imeingia kwenye Top 20 ya radio bora Africa.
Source: networkafrica.com/top-20-best-radio-stations
 
Nisichoelewa ni watu kusema redio inachukiwa at th sametime ndio super brand redio ni kutokufikiri vizuri.. Clouds haichukiwi hizo ni propaganda..
 
Ukiona huna maadui maana yake huna mafanikio
 
We subir waje utaona wanavyocomment, mara wanaiita radio ya wafu au wala sijawah kuisikiliza

hahaha honestly huwa siisikilizagi hyo redio na wala sijawahi kuichukia, ila watu wa humu JF wana gundu sana kila wanapoweka chuki wanafeli. Diamond wanampga zengwe weeeee lakin anazidi kutoboa tu. Cloudz nayo hivyo hivyo lakini imeingia top 20.
 
Back
Top Bottom