Watu kibao wajitokeza Instagram Party Mikocheni

Watu kibao wajitokeza Instagram Party Mikocheni

Joined
Apr 27, 2006
Posts
26,584
Reaction score
10,466









- Wananchi 6,000 au Elfu Sita walijitokeza kushiriki kwenye ile Party yangu niliyoitangaza siku za nyuma hapa JF, ukumbi ulikuwa na uwezo wa kuchukua watu 4,500 tu kwa hiyo wengine 1,500 tulishindwa kuwachukua na tunawaomba radhi sana, jamani najua kuna wananchi wengi mlikuja kutokea hapa ninawashkuru sana na sasa tunaelekea Mikoani na this Instagram Party Le Mutuz Phenomene.

Le Mutuz Big Show
 
Acha kudanganya we baharia, nlikuwa pale..elfu sita unaijua wew au unaiskia.
 
Duh Instagram? teh teh ndo nini........................naja bdae Via nokia tochi
 
Last edited by a moderator:
Acha kudanganya we baharia, nlikuwa pale..elfu sita unaijua wew au unaiskia.

- Well wala sina sababu ya kubishana on this one maana vitabu tulivyotumia kuuza tiketi vipo kaka, kubali tu au unaweza kuendelea kubiashana na wewe mwenyewe, vinywaji viliisha mara 4 kaka ni historia tupu siku ile

Le Mutuz
 
- Well wala sina sababu ya kubishana on this one maana vitabu tulivyotumia kuuza tiketi vipo kaka, kubali tu au unaweza kuendelea kubiashana na wewe mwenyewe, vinywaji viliisha mara 4 kaka ni historia tupu siku ile

Le Mutuz

Unajua jana nimekuona pale kwenye engagement party jamaniii???? Uwiiiii
 
- Well wala sina sababu ya kubishana on this one maana vitabu tulivyotumia kuuza tiketi vipo kaka, kubali tu au unaweza kuendelea kubiashana na wewe mwenyewe, vinywaji viliisha mara 4 kaka ni historia tupu siku ile

Le Mutuz
Kumbe Le Mutuz sometime unajibu kwa busara ukiendelea hv nitakupa dadangu aisee
 
Ila braza unafanya mambo japokuwa umeshakuwa mzee na umri umekutupa mkono
 
Mnnacha kufanya mambo ya maendeleo mnang'ang'ania kufanya mambo yanayodumaza akili za watu mwanzo mwisho...halafu kesho na keshokutwa mnapanda majukwaani mkitaka kupewa uongozi...
 
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
html>
<head><title>301 Moved Permanently</title></head>
<body bgcolor="white">
<center><h1>301 Moved Permanently</h1></center>
<hr><center>nginx</center>
</body>
</html>
 
Dude u too old for that shit bana
Hata kama unatafuta pesa lakini sio kihivyo
Btw siasa zimekushinda.......?
 
Mnnacha kufanya mambo ya maendeleo mnang'ang'ania kufanya mambo yanayodumaza akili za watu mwanzo mwisho...halafu kesho na keshokutwa mnapanda majukwaani mkitaka kupewa uongozi...
Anatimiza ilani ya Chama, unajuwa ameajili wangapi? wenye tatizo ni wale wanaoshabikia ujinga huu.

Huyu ndio anashauri Wabongo waliopo nje warudi nyumbani kuja kudumaza akili na nguvukazi ya Taifa.
 
Anatimiza ilani ya Chama, unajuwa ameajili wangapi? wenye tatizo ni wale wanaoshabikia ujinga huu.

Huyu ndio anashauri Wabongo waliopo nje warudi nyumbani kuja kudumaza akili na nguvukazi ya Taifa.

- Kwa mara ya kwanza katika maisha yangu ndio nimejifunza kwa nini Wazungu wanalilia bongo, hata Mzaire tu aukimwambia kurudi kwao analia machozi kumbe Wabongo tumelala sana usingizi!!

Le Mutuz
 
Back
Top Bottom