Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

dah!.hili shindano inaonekana kuwa zuri kweli kweli. updates zote tupeane hapa.
0 Reactions
1 Replies
977 Views
Mkali wa miondoko ya RnB kutoka Rock City,Mwanza 'Future Jnl' amerudi tena kwenye spika zako na single moja hatari "Crazy" akiwa peke yake kuonyesha zaidi uwezo wake katika muziki. Hebu chukua...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nimeangalia movies na Tv series nyingi japo sio sana ila nimegundua kuwa Africa kuna location nyingi sana za kufanyia movies, hata stories na matukio yanayotokea na yaliyowahi kutokea nchi za...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nashindwa kuamini haya maneno, kwa waliowahi kumuona naomba wanithibitishie tafadhali
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wapenzi wa Muziki, Nyimbo gani Imewakaa kichwani leo, na kwanini? Mimi leo tangu niamke, nausikilizia, "Habibi ya nour el ain, by Amr Diab....
0 Reactions
73 Replies
8K Views
Mwanamuziki kutoka Rock City,Mwanza 'Bob Haisa' ameachia ngoma yake mpya yenye mahadhi ya Chakacha inayoitwa 'Lamsondo'."hii ni ngoma fulani hivi ambayo inanikumbusha uimbaji wa miondoko ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jaman samahani naomba msaada wenu wapi naweza kudownload marichui na la levancha please nisaidieni maana nina mwaka sasa nazitafuta hizi tamthilia bila mafanikio
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msanii kutoka Rock City,Mwanza 'Malale' ameachia wimbo wake mpya 'Kampeni Za Kahawa' akimshirikisha Bob Haisa kutoka Mwanza pia.Mtayarishaji wa wimbo huu ni King Fenya kutoka Mbunda...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
huu wimbo nadhani uliimbwa na chez ntemba. Nimeutafuta sana, kama kuna mtu anao anisaidie plz
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Baada ya kipigo tulicho kipata mashabiki wa SPAIN, leo nimeendelea na utafiti wangu ulio anza juzi na leo asubuhi kwa uchungu nimefikia kikomo.Nilikua nafanya utafiti kujua mabinti wengi wanapenda...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jumapili ndani ya club 71
0 Reactions
24 Replies
19K Views
Prove yoself if u ar kind of genous Farmer Gray and Farmer Brown were neighbors. One day, Farmer Brown bought Farmer Gray's horse for $60. Soon thereafter, Farmer Gray began complaining that the...
0 Reactions
0 Replies
885 Views
Wadau tumalize utata...kati ya awa madj wawili Steve B na Mafuvu...nani ndio mkali hapa mjini kwa sasa?
2 Reactions
43 Replies
13K Views
Mwenye hii nyimbo ya edson mwasabwite naomba anipatie/anisaidie link !.
0 Reactions
5 Replies
4K Views
naomba msaada kama kuna mtu ana wimbo wa ngapulila namba 1 wa vijana jazz. Naomba unisaidie nidownload au whatsapp kupitia 0766399341
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Habari jamani! Ni miaka sasa bongo yetu imekuwa ikitembelewa na watu maarufu sana duniani wakiwemo wanasiasa, wasanii, wanamichezo n.k kupitia udhamini wa watu,makampuni na mashirika mbalimbali...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
poleni na majukumu ya kimaendeleo nnapata shida sana katika hili ebu na nyie mnipe ufahamu wenu basi kwa anayejua lkn naomba uniorozeshee wasanii wa kumi wa kwanza kurikodi muziki wa kizazi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wadau ule wimbo yule dada anaimba im looking for my joniii yule dada anaitwaje na wimbo unaitwaje?!?
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom