Master Jay vs P-Funk Majani

Master Jay vs P-Funk Majani

Mtamile

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
2,838
Reaction score
1,274
Wote hawa ni Maproducer wakubwa ni moja ya mapeoducer wa Mwanzo kabisa walionza na mziki wa bongo fleva

wote hawa wana mchango mkubwa katika kuku kwa mziki wa bongo fleva Master Jay akitokea studio za MJ records na Majani akitokea katika studio za bongo records

Sasa wadau kwa mtazamo wenu ni nani kati yao ana mchango mkubwa zaidi katika ustawi wa bongo fleva??

nani+mkaliiii.jpg
 
Kwa maoni yangu Huwezi watenganisha kwenye suala la mchango wao maana ukiondoa Nature na Jmo wasanii weng akina Prof,Fid q nao walianza kusotea MJ records na wengi pia single zao za mwanzo walirekord MJ .. tofaut yao ni kuwa enzi zile Majani alikuwa anawasaidia hadi kwenye promo na show anajumuika nao ila Mchaga Kimaryo alikuwa ana record tu hakuwa na wasanii anao wasimamia kama anavyofanya sasa..

Ila wote wanamchango kwenye huu mziki.
 
Kwa maoni yangu Huwezi watenganisha kwenye suala la mchango wao maana ukiondoa Nature na Jmo wasanii weng akina Prof,Fid q nao walianza kusotea MJ records na wengi pia single zao za mwanzo walirekord MJ .. tofaut yao ni kuwa enzi zile Majani alikuwa anawasaidia hadi kwenye promo na show anajumuika nao ila Mchaga Kimaryo alikuwa ana record tu hakuwa na wasanii anao wasimamia kama anavyofanya sasa..

Ila wote wanamchango kwenye huu mziki.

Mkuu safi sana unaeleza kwa fact
 
haya maswali tulibishana 2001-2005,,
wakat top ten karibu za fm station zote 1 mpka 8 alikua anakamata P funk. Wewe waturejesha huko leo 2014..!!?? Kakojoe ulale.
 
haya maswali tulibishana 2001-2005,,
wakat top ten karibu za fm station zote 1 mpka 8 alikua anakamata P funk. Wewe waturejesha huko leo 2014..!!?? Kakojoe ulale.

Mkuu hapa tunaa mwenye mchango mkubwa kwa ustawi wa bongo fleva hii mada hata ingekuja 2030 bado itakuwa sawa tuu
 
dhumuni la kuandaa ili uzi ni upi ? Kuna kipindi watu walikua wanajua jamaa wanabifu kumbe hamna ikifika jioni unawakuta YATCH CLUB MASAKI wakicheza, kiujumla Mj ni mkongwe ata P. Majani alianza kutengeneza mziki pale kwa Mj by then Majani alikuwa anasoma IST. Wote wanajua ila P is the geneus and talented.
 
dhumuni la kuandaa ili uzi ni upi ? Kuna kipindi watu walikua wanajua jamaa wanabifu kumbe hamna ikifika jioni unawakuta YATCH CLUB MASAKI wakicheza, kiujumla Mj ni mkongwe ata P. Majani alianza kutengeneza mziki pale kwa Mj by then Majani alikuwa anasoma IST. Wote wanajua ila P is the geneus and talented.


Basi usiwatafutie Bifu kwa kuanza kuwapambanisha hapa ndio Bifu zinapoanziaga Bwana Wewe !
 
dhumuni la kuandaa ili uzi ni upi ? Kuna kipindi watu walikua wanajua jamaa wanabifu kumbe hamna ikifika jioni unawakuta YATCH CLUB MASAKI wakicheza, kiujumla Mj ni mkongwe ata P. Majani alianza kutengeneza mziki pale kwa Mj by then Majani alikuwa anasoma IST. Wote wanajua ila P is the geneus and talented.

Mkuu umeongea ukweli mtupu. Halafu hii tabia ya kutaka kulinganisha kila kitu saa nyingine ni ujinga.
 
Kwa maoni yangu Huwezi watenganisha kwenye suala la mchango wao maana ukiondoa Nature na Jmo wasanii weng akina Prof,Fid q nao walianza kusotea MJ records na wengi pia single zao za mwanzo walirekord MJ .. tofaut yao ni kuwa enzi zile Majani alikuwa anawasaidia hadi kwenye promo na show anajumuika nao ila Mchaga Kimaryo alikuwa ana record tu hakuwa na wasanii anao wasimamia kama anavyofanya sasa..

Ila wote wanamchango kwenye huu mziki.

Good point.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom