Habari zenu wanajamii katika kipindi hichi cha skukuu ya eid nyimbo ambazo zilibamba Club na kufanya kila mtu mzuka kuwa juu na kucheza bila ya kuchoka ni hizi 20 bora.
1.Mafikizolo ft Davido...
Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akikata utepe wakati akizindua rasmi albam ya Rose Muhando mwimbaji wa muziki wa injili inyoitwa Shikilia Pindo la Yesu katika onesho kubwa la uzinduzi...
Ngoja nijinoe mbavu kwani baadae Golden Tulip itakua ni "sheedah".
Jana niliwashuhudia wachekeshaji Anne Kansiime, Omond na Mc Pilipili katika vyombo vya habari. So, leo ndio leo inabidi...
Kuna muvi niliwahi kuangalia, nataka niitafute tena niiangalie ila kwabahati mbaya nimeisahau jina::: ilikuwa inahusiana na marriage, wamecheza wamarekani weusi, inavyoa anza kuna wadada...
Hii niiliyo translate in English
The Tanzanian hip hop is broken, what could save him, young people who want to save him and his ideas were.
The hip-hop variant Bongo Flava stood for the...
https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=174796&d=1406983122
https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=174796&d=1406983122
Hizo nimezirekodi kwa kutumia simu lakini...
Akitangaza Tamasha kubwa la Kumshukuru Mungu Kwa Kanisa lake Kupata Helkopta mpya Kwa Ajili ya Uinjilist Tanzania, litakalofanyika Kwenye viwanja VYA Kawe-Tanganyika Packers, siku ya Jumapili...
Jamani mimi huwa nayafuatilia sana,yanaonyeshwa EATV Jumamosi saa moja usiku na j5 saa moja.
Ila siwaelewi majaji hua wanaangalia vigezo gani kwa washiriki.
Utakuta washiriki wanadance vizuri...
Wadau samahani kama nitamkwaza mtu lakini binafsi sijapendezwa na zawadi zinazotolewa na shindano la dance 100 linaloendeshwa na channel 5 east Africa television.
Hebu fikiria washiriki...
Ni SONGA na Track yake Ndege.
NDEGE LYRICS
Produced By: Duke Tachez
Verse 1: Songa]
Wengi wanaoskia zile sauti za ndege
Huwa wanahisi ndege anaimba
Lakini mi huwa sina mawazo ya kizembe
Huwa...
Track mpya ya Moyo wangu iliyoimbwa na msanii mwenye kipaji, ujuzi wa sauti na utunzi Spacio "Prince wa Masauti" yawa gumzo tz. Ni baada ya wiki chache kutambulishwa clouds.
Je, wewe umepata...
Ukizungumzia reggae kuna Bob marley, ukija miondoko ya Rock kuna Elvis presley, Pop yupo mtu mzima Michael Joseph Jackson, Hip hop wapo Tupac na Notorious....je nani ameifanyia makubwa zaidi...