Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

jamani wanajamii forum habari zenu,nilikuwa naomba yeyote mwenye wimbo wa andrew sekedia wa PAULINA ANIFANYIE ATTACHMENT NIUDOWNLOAD,nategemea hilo kutoka kwenu,asanteni sana
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Siku zote katika maisha yangu huwa cpendi kujishusha hadhi kwa binadamu mwenzangu ambaye anaroho kama yangu. Ninasema hivyo baada ya kusikiliza wimbo wa msaani NIKI WA PILI katika wimbo wake wa...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Kuna haya mashindano ya BBA ambayo Tanzania huwa "tunashiriki " na hao " wawakilishi" huwa wanaenda na bendera kabisa za taifa. Matendo yanayofanyika huko ni hatari tupu, kwani kuna yule demu wa...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
binafsi natumia king'amuzi cha Azam ambacho kina chaneli mahsusi kwa filamu za Tanzania (chaneli ya filamu zetu). chaneli hii imeniwezesha kutazama filamu nyingi sana za Ki-Tanzania, na jambo...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
CNN) -- Jason Derulo has a message for fans worried about his breakup with Jordin Sparks: "Everything is cool."The "Talk Dirty to Me" singer did an interview with a Twin Cities radio station on...
0 Reactions
0 Replies
848 Views
namsikiliza dada yangu salama ana kipindi kizuri sana sana lakini kuna maneno anajisahau ama shetani anampitia ama anajaribu kusisitiza ukweli naomba punguza ukali wa maneno kipindi chako kizuri...
0 Reactions
44 Replies
7K Views
Leo asubuhi nimekumbuka hii nyimbo ya Freddy Saganda na nikaona ni vyema niutafute kwenye mtandao. Kwa bahati mbaya nikaupata hapa Rafaeli - Freddy Saganda Usisahau kusema asante. Kwa sababu...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Reggae Lovers Rock Vol 2 - DJ ShaRoc - YouTube
1 Reactions
0 Replies
880 Views
jamani mbona haya makitu mi naona yanaharibu tu nyimbo?? Siwei kuharibu bundle yangu kudownload ujinga huo.
0 Reactions
0 Replies
662 Views
Los Angeles (CNN) -- Amber Rose insists the "irreconcilable differences" ending her marriage to Wiz Khalifa is his cheating, not hers. Tabloids and blogs have published several variations on the...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
http://youtu.be/MKUXvZCCjSg Published on Aug 11, 2014 This is an extract from the skit by the same students. To watch the whole skit (film), go...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimegundua matamasha mengi ya burudani ambayo hufanyika mikoa mbali mbali ya Tanzania hayafanyiki Arusha, kwa mfano fiesta, kili music, nyama choma etc Je wadau wa Arusha ni kwa nini?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu, Sijui nani anajua waliko hawa jamaa? ROY maganga , Ezekiel malongo , Ben Kiko , alex ngusa ,
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wenzangu wana series nafikiri pilika za huyu jamaa mnazitambua ni sheeeeeeeedaaaa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
1-Fid q 2-Nikki mbishi 3-Stereo 4-One the incredible 5-Chindo man 6-Songa 7-Joh makini 8-Bou Nako 9-Young killer 10-P the mc Kwa mtazamo wangu hebu yako 2one
0 Reactions
7 Replies
8K Views
jamani natafuta sana hii tamthilia kila juhudi nazozifanya i endup gettin vipisi vpisi tafadhar msana jaman. Wapo watakaobeza na kukejer but naitafuta sana ni ya wafilipino.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Haya haya wale wazee wa movie za ki spy na intelligensia yule mtaalamu mtuhumiwa(Ex FBI agent)-Most wanted fugitive anayejua mambo mengi kushinda FBI wenyewe Mr Redington akiwa na mwanawe keen...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarini hapa Jamvini Kuna Movies za Kihindi zinapatikana miaka ya Karibuni kwa TORRENTS unazipata tena na hivi AIRTEL wameleta OMG baasi ni kupakua tu...with English Subtittles Hii ni List ya...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
hawa madogo wanakuja juu aisee, mkubwa fella naye aonyeshe mabadiliko kwa kuongeza budget kwenye videos zao, bila hivyo watabakia anga hizi tu, cheki video yao hapa chini
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Habari wakuu!! Ki ukweli mimi ni mfuasi sana nyimbo za south africa na kuna Dj mmoja nimemkuta bar moja kinondoni inaitwa Uhuru peak jamaa ni mkali anaitwa Dj willz anagonga ngoma za bondeni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom