Ally Kiba ni mjanja wa kigoma sio Dar
Ally Kiba ni mjanja wa kigoma sio Dar
Yule mjanja wa Dar es salaam,namzungumzia Alli Kiba usiku wa leo anafanya onyesho kubwa hapa Mtwara katika club ya Makonde Royal...daah shangwe zimeshaanza yaani hadi raha.Karibuni.
Yule mjanja wa Dar es salaam,namzungumzia Alli Kiba usiku wa leo anafanya onyesho kubwa hapa Mtwara katika club ya Makonde Royal...daah shangwe zimeshaanza yaani hadi raha.Karibuni.
nitawa update... nikitoka hapa Msemo nitapita kuchungulia.
nitawa update... nikitoka hapa Msemo nitapita kuchungulia.
Hivi mkubwa ule ukumbi wao wa Blantyre bado upo pale maeneo ya mnarani.
Plizzz usiacheee na picha usisahauuu
mashabiki wa dimaond yaani hapa zile za harufu chafu zinawagonga pichu.
Ally Kiba ni mjanja wa kigoma sio Dar
Hahahaha umenichekesha sana daaa hizi timu zenu bhana!
Viol tuheshimu na mimi unaniambia hivyoo
Sio mwenyeji uku nipo na mishe zangu tu .
Mi nimecheka kinoma noumaaa