Kwa wale wapenzi wa series za kijasusi,siasa za kimafia, ugaidi na upelelezi wakae mkao wa kula. Huku tukiendelea kuisubiria homeland na kuendelea kuangalia series kali ya Arrow na sasa tukae...
bwana eeh kwa taarifa za uhakika msanii TI kutoka US anatarajiwa kutua bongo ndan ya leaders club tr.18 oct kama we n shabik wa TI nadhan unaelewa namanisha nn
¤no midiocre¤
Mara nyingi watalii wanaoingia Tanzania wanaimbiwa kibao cha Kenya ambacho ukweli ni kizuri. Kwa kuwa ni wimbo wa kenya basi unakuta tunatoa Kenya penye Kenya tunaweka Tanzania na inakuwa haina...
Pegging down the top nightclubs in Europe is a hard one. In part it's difficult to pinpoint which European Nightclub's come out of top because of the sheer number of clubs across the continent...
YOUNG KILLER bado ni msanii mchanga lakini mambo anayofanya ni makubwa. Kazi zake zimekuwa na ladha tofauti sana na ambacho tumesikia mpaka sasa kutoka kwa wasanii wa Hip Hop hapa nchini. Mfano...
Kwenye Zouk Rhumba huko Diamond na Ally Kiba hawana mpinzani anayewafuata. Ila kwa RnB basi Jux anatoa upinzani mkubwa kwa Rama Dee kwa sasa.
Ametambulisha nyimbo mpya iitwayo sisikii, ni shida...
Tamasha hili litahusisha vikundi vya nndani vya Tanzania,jumla ya vikundi 136 vimethibitisha kushiriki vikiwemo vikundi 5 kutoka nje ya nchi vikundi hvyo ni kutoka norway,german,kenya na bbrazil...
Kuna hili lingoma sijui linaitwaje.......limenisuuza mbayaaa.....Mwenye kuliimba anaitwa Mr Flavor......ni remix....kalipiga Kayanda kwenye top 20 leo Clouds (kwa waliokuwa...
King Kiki, Ndala Kasheba, Kabeya Badu, Baziano hao ni baadhi ya wanamuziki waliokuweko kwenye kundi lile la muziki la Fauvette lililoleta nyimbo kama Vivi, Zula, Francisca na nyingine nyingi tamu...
Kuna wimbo mmoja naupenda sana lakini sina bahati ya kuujua wala kuwa nao!! Ni wa kitambo kidogo nimekuwa nikiusikia kwenye maredio tu, jina lake sijwahi kulijua.
Wimbo sijui umeimbwa na nani ila...
Msanii sam wa ukweli akiwa ktk maonyesho yake ktk wilaya ya liwale amekutana na majanga baada ya baunsa aliye kuwa anaangalia usalama getini na kukagua uhalali wa tiketi za kuingilia kupigwa kisu...
Haya promota VICTOR kashikiliwa na polisi, walionunua ticket kuona show yake wamegoma kuondoka hadi warudishiwe pesa na wamerudishiwa.
Diamond hakuonekana ukumbi wa la face huko london ambapo...
Wakuu naombeni mwenye kuijua hii movie ilioneshwa ITV muda mrefu kidog ..nitaisimulia kidogo
Iko hivi, kuna baba na familia yake walihamia mexico kama sikosei, alikua na watoto wakiume na wa kike...
TANZANIA KUNA WATANGAZAJI WENGI WA REDIO UKIWASIKILIZA HUWA WANAKUVUTIA NA WAPO WENGINE UKIWASIKILIZA WANAKUBOA KWANGU MIE
WANAONIVUTIA WATANGAZAJI HAWA....
1.arthony joseph....huyu ni wapo...
Habari wadau, mwenye hizi ngoma afanye msaada.
1. Nikki mbishi - feedback
2. Mr 2 - hii ni noma
3. Tanya blount- last time we made love
4. Kwaya Naioth Propheric Singers - angukia mikononi mwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.