Filamu Mpya TBC

Filamu Mpya TBC

MZIMU

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2011
Posts
4,058
Reaction score
1,377
TBC wametangaza Filamu Mpya baada ya Jin Tai Lang Kuisha. Filamu hiyo inaitwa kwa Kiswahili, Maisha ya Mama.

Katika Tangazo lao nimuemona Mama Shaomi, Mwalimu Hu, Bosi wake Mama Shaomi na Wengineo. Bonge zembe sijamuona wala Mzee Jin, lakini nadhani watakuwemo.

Itakua inaonyeshwa Jumatatu, Jumanne na Jumatano saa nne Usiku, Masurudio Jumamosi Saa sita. Ngoma inaanza Jumatatu tarehe 27/10/2014.

Ok. Tusubiri tuone.
 
Yaa ile ndio ilikua finito. Director amekosea kidogo. Picha za kizungu ndio zinamwisho unaoeleweka.

Basi tutaliendeleza hapa ikianzaa etii sikujua umeanzisha uzii
 
DA! kwanini sasa jumatatu haonyeshi. mara mbili kwa wiki watu tutatuwa haturidhiki
 
TBC I wametangaza Filamu Mpya baada ya Jin Tai Lang Kuisha. Filamu hiyo inaitwa kwa Kiswahili, Maisha ya Mama.

Katika Tangazo lao nimuemona Mama Shaomi, Mwalimu Hu, Bosi wake Mama Shaomi na Wengineo. Bonge zembe sijamuona wala Mzee Jin, lakini nadhani watakuwemo.

Itakua inaonyeshwa Jumanne na Jumatano saa nne Usiku, Masurudio Jumamosi Saa sita. Ngoma inaanza Jumanne tarehe 27/10/2014.

Ok. Tusubiri tuone.

Mkuu hebu tuweke sawa hapo kwenye red.!!
 
Jamani nimeianzia katikati hata sijaelewa mama shaumi kaigiza bibi
 
Yaa ile ndio ilikua finito. Director amekosea kidogo. Picha za kizungu ndio zinamwisho unaoeleweka.

Ila mi nadhani imeisha vzr manake mpaka sasa kila.mtu anabaki na jibu lake so itaendelea kuongelewa kwa muda mrefu zaidi,,!
 
Jamani nimeianzia katikati hata sijaelewa mama shaumi kaigiza bibi

Anakansa ya kizazi alienda hospt maDR walimbadirishia FILE wakampa la mtu mwingine badae walimpigia kuwa wamekosea so aende akachukue lakwake kufika kule ndg yake ndo kaenda kumckulia ikagundulika ugonjwa umefikia hatua mbaya yule ndg yake akataka kumficha ili akampe ushauri kwanza jins yakuishi na tatizo lake Lkn akashindwa maarifa ya namna yakumshauri Mgonjwa akashtukia majibu yakutoka Hospt ni mabaya akamnyang"anya MKOBA akachukua CHETI,,,!
 
Yaan hat hapendezi ....anapendeza kuwa mkali mkali

Yaah,,,nikweli amepoa sana lkn ile ndio msanii anatakiwa kuwa manake anafiti sehemu zote sasa hivi anaigiza km MGONJWA so yale mapepe yake imebidi ayaache kwa KAKA JIN tu,,,pale ni mtu mwingine kabisa hadi nywele zina MVI,,,!
 
Labda nitaiona leo, jana nilichelewa kurudi home, sijajua nini kimeendelea, hata sijui kama wale Mastaa wetu wapo wote ama vipi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom