Guus
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 1,130
- 823
Ndugu WanaJF,
Siku chache zilizopita mashindano ya Miss World yamefikia kikomo huko London, UK, na kushuhudia mlimbwende kutoka nchi ya Afrika ya Kusini akinyanyua taji hilo. Lakini kabla ya hapo kulikuwa na meseji zikizunguka hapa Bongo (kupitia mitandao ya kijamii) kuwa mlimbwende kutoka Tanzania ameingia kumi bora, na kuwaomba Watanzania wampigie kura zaidi ili aweze kushinda. Mimi nilidhani kwa kuwa yupo hiyo kumi bora basi hata kama asingepata hata kura moja nafasi ya kumi (at worse) ingekuwa yake. Sasa naona katika list ya walimbwende kumi wa mwanzo bidada toka Tanzania hayupo. Sasa najiuliza; (1) Kuna top-ten za aina ngapi huko Miss World? (Maana haya mashindano nayo huwa yana sarakasi nyingi ati). (2) Je, hii meseji ilikuwa na maana gani?
Miss World 2014 Winner Is Miss South Africa, Rolene StraussâSee Photos and Find Out Who Else Make the Top 10! | E! Online
Siku chache zilizopita mashindano ya Miss World yamefikia kikomo huko London, UK, na kushuhudia mlimbwende kutoka nchi ya Afrika ya Kusini akinyanyua taji hilo. Lakini kabla ya hapo kulikuwa na meseji zikizunguka hapa Bongo (kupitia mitandao ya kijamii) kuwa mlimbwende kutoka Tanzania ameingia kumi bora, na kuwaomba Watanzania wampigie kura zaidi ili aweze kushinda. Mimi nilidhani kwa kuwa yupo hiyo kumi bora basi hata kama asingepata hata kura moja nafasi ya kumi (at worse) ingekuwa yake. Sasa naona katika list ya walimbwende kumi wa mwanzo bidada toka Tanzania hayupo. Sasa najiuliza; (1) Kuna top-ten za aina ngapi huko Miss World? (Maana haya mashindano nayo huwa yana sarakasi nyingi ati). (2) Je, hii meseji ilikuwa na maana gani?
Miss World 2014 Winner Is Miss South Africa, Rolene StraussâSee Photos and Find Out Who Else Make the Top 10! | E! Online