Hawa icon ya Bongo Fleva muda huu wako studio na tayari wameshaingiza sauti kwenye jisongi linakwenda kwa jina la Amsha amsha M4C tour 2014.
Hili dude kama umekunywa maji ya bendera ya CCM...
Standard Chartered Marathon winner Peter Kiprotich Kosgei with his wife Florence Cheruiyot and two year old daughter Abigael Chepchumba, pose for a photograph outside their grass thatched house...
"Wimbo mmoja kila wiki kwa wiki 10!" kupitia Mkito.com
Huu ni wimbo wa pili kutoka album mpya NEW DAY kutoka kwa Angel Benard - wimbo unaitwa SHUJAA.
SHUJAA.
Kuna wakati katika maisha...
Haya haya haya haya wale wote tunaomzimikia huyu kijana, tusioweza kula kunywa wala kulala bila kumuongelea huyu KICHWA wa bongo fleva njooni sasaaaa@miss strong, nifah, matola, geniveros diva...
DIAMOND ANA MAKOSA 3 MAKUBWA ALIYOTUTENDEA WATANZANIA MPAKA IKAMPELEKEA KUZOMEWA
1.Kosa la kwanza ni KUWA NA BIDII KWENYE MUZIKI WAKE.Hili ni kosa kubwa sana kwa Watanzania.Hakupaswa kuwa na...
Sijui ni kwanini lakini leo tangu niamke kichwani kumejaa nyimbo za huyu Bibie tuuu, nashukuru zinanitia nguvu za kuendelea kufanya kazi nirudi kwa familia yangu. Mtambuzi nakaribia kurudi, uko...
Ni wangapi wanacheki hii kitu?
Nipeni story inavyokwenda.
i just come to it accidentally...
na kugundua most members of my family wanaifuatilia..
naamini Heaven on Earth miss neddy...
Wale wasanii wakali waliobamba kwenye coke studio watakuwpo leo kwenye viwanja vya Coco beach kuzikonga nyoyo za wapenda Burudani...
Wasanii hao ni pamoja n Dimond, Vanessa mdee, Shaa na Mwamba...
Usione kimya sana leo ni kwamba diamond kapigwa chini kwenye best african act ya Europe music award(Ema) wameshinda sauti sol ambao sasa watashindana na jamaa wa asia hapo tarehe 9 november huko...
Wadau hua nafuatilia hii filamu ya kichina inayo tafsriwa kiswahili. Hakika ina burudisha na kuelemisha.
Ila Bado silijui jina lake!
Mawazo yenu wanadau!
Inaitwa Jin Tai Lang.
Mzee Jin...
Msanii Diamond afunika kwenye fiesta ya Kigoma pamoja na kutokuwepo,ulipigwa wimbo wake shangwe alizopokea zilikuwa balaa wanakigoma hawana ajizi.
Kwa upande wa Kiba naye alifanya vizuri japo...
Hizii ni Top 7 Za wiki zinazo BANG kwenye radio now
Dully Sykes ft Lamar - Togola REFIX
Heri Muziki - Nchi Yetu Muziki Wetu
Mrap ft Ben Paul - Nikubembeleze
Ace Hood ft Rich Homie Quan - We...
Wana-Jamiiforums,
Nilijitolea tangu siku ya Fiesta kuhesabu clouds watapiga mara ngapi nyimbo za Diamond vs za Kiba, mpaka sasa sijasikia wala kuona za Diamond, kwa sasa nipo likizo na niliamua...
Saturday, October 25, 2014 Tujuane to go regional Popular TV dating reality series Tujuane is spreading its wings. Host Malonza Chege has been to Kampala, Uganda, and Dar es Salaam...
Ali Kiba 97%
Mwana Fa 94%
Weusi 91%
Mr blue & B.O.B 83%
Stamina 71%
Diamond Platnumz 65%
Ommy Diampoz 62%
madee &Tip Top 58%
Young Killer 50%
Yamoto band 47%
Chege &Temba 42%...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.