Mwenye huu wimbo jamani anisaidie!

Mwenye huu wimbo jamani anisaidie!

Tanganyika50

Member
Joined
Dec 8, 2011
Posts
97
Reaction score
19
Wanajamvi,
Kuna huu wimbo unaitwa nadhani "Laiti Moyo".Sina hakika umepigwa na bendi gani ila nadhani ni Bima Lee na sehemu ya maneno yake yako kama hivi"Laiti moyo ungekuwa ooh,nakifuniko radhi kukwambiaa,fungua uone unavyokereketa mamaa...lakini sasa imekuwa buree....nabaki nauguza vidonda vya moyoni eee eee!"
Anayefahamu bendi iliyo upiga wimbo huu au mwenye nao tafadhali naomba anitumie kupitia jamvi hili maridhawa.
Natanguliza shukrani!
Laiti moyo ungekuwa aaa
Una kifuniko radhi nikuambie eee
Tizama uone unavyokereketa mama aa
 
Wengi hawataujua kwa sababu wasomi wengi tunasikiliza nyimbo zakina diana rose,beyonce,avat.n.k
 
Wanajamvi,
Kuna huu wimbo unaitwa nadhani "Laiti Moyo".Sina hakika umepigwa na bendi gani ila nadhani ni Bima Lee na sehemu ya maneno yake yako kama hivi"Laiti moyo ungekuwa ooh,nakifuniko radhi kukwambiaa,fungua uone unavyokereketa mamaa...lakini sasa imekuwa buree....nabaki nauguza vidonda vya moyoni eee eee!"
Anayefahamu bendi iliyo upiga wimbo huu au mwenye nao tafadhali naomba anitumie kupitia jamvi hili maridhawa.
Natanguliza shukrani!
Laiti moyo ungekuwa aaa
Una kifuniko radhi nikuambie eee
Tizama uone unavyokereketa mama aa

kama nauchanganya vile......kuna sehemu wanasema (nikabakii na huzunii)
kama ndio huo ninao ila sina uhakika na waimbaji
 
Pole kwa kutendwa, ni wimbo mzuri ila hautulizi maumivu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom