Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,111
- 14,320
aaaaah!hawa vijana wanastahili pongezi japo sijui hiyo maana ya 'nitakupwelepweta'
...una sifa ya kuogopwa kama defender
...sitaki nizikwe na kilo mbili kwenye mfuko
...sitaki familia ilie kwa sababu yako
...ananitegemea mama...nikifa atalia sana
...katika familia nami ni baba...japo baba yupo
...kuku wa kizungu mchinjaji hana tabu
...hebu niache...unapita na dumu la petrol
...una rambo?...mi nina mua
...una sifa ya kuogopwa kama defender
...sitaki nizikwe na kilo mbili kwenye mfuko
...sitaki familia ilie kwa sababu yako
...ananitegemea mama...nikifa atalia sana
...katika familia nami ni baba...japo baba yupo
...kuku wa kizungu mchinjaji hana tabu
...hebu niache...unapita na dumu la petrol
...una rambo?...mi nina mua
Last edited by a moderator: