Natanguliza shukurani, mwenye wimbo huu wa mlimani pack, sijui unaitwaje ila kuna mashairi yanaimba MUME HUYU C RIZIKI TENDE HALUAHALUA!! Nimejaribu kuutafuta cjaupata. nitashukuru wakuu.
Natazama Cloud TV hapa naona Kalapina ana host kipindi kinaitwa " HARAKATI NA KALAPINA " a.k.a TANZANIA BILA DAWA ZA KULEVYA INAWEZEKANA.
Da nikikumbuka enzi hjizo 2004/2005...
natumia neno kucause mass destruction,
no physical attraction but my mind is beauty,
am literary speaking so its a code now decipher,
I decapitate weak MCs u'd say am Lucifer......
Sijui anaitwa nani...sijui ni mtu wa wapi...na sijui kama kweli alikuwa anaucheza wimbo wa Ali Kiba.
Ila nachojua ni kwamba hiyo shepu na hiyo miondoko inanipa midadi isiyoelezeka.
Natamani...
Haya matangazo yanayokwenda hewani kila sekunde, dakika na saa Clouds TV ya kuhusiana na matamasha yako ya uzinduzi kama siyo utambulisho wako wa single yako ya "Cheketu Cheketua".
Huko Mikoani...
Haiyaaa haiyaaaa..........
Wale wadau wa hili game........ni msimu mwingine tena umewadia wa kuburudisha mioyo yetu........
Ni leo tar 5 Oct........saa mbili usiku kwa saa za kwetu bongo......(SA...
Baadhi ya nyimbo za Diamond (na wengine including Ali Kiba) zilizo YouTube zimepigwa pin kwa maana kwa baadhi ya applications mtu hawezi kuzidownload.
Nimshauri tu Diamond na wengine kuwa...
Wapendwa wa jamvini nahitaji mwenye movie za action , zombie vampire...anayepatikana dar es salaam nimtafute mda ambao hana kazi yaani atakuwa free anipatie movie .
Namba yangu ya simu ni hii...
Wasanii wetu wapo kutokana na kubebwa na media, sasa nimesikia kuwa vituo vya redio na television vinavyotaka kucheza kazi za wasanii nchini vitalazimika kuwalipa wasanii kwa kucheza kazi zao hizo...
Habari zenu wote
Kwa ufahamu wangu naelewa "music director"(sina kiswahili chake) anadeal na muziki lakini bado nataka kujua zaidi ;
Ni nani?
Majukumu yake ni yapi?
Kuna umuhimu wa kuwa na...
Ni leo ucku & every Wed nite, never mis the sweet looks with our lovely african beauties @ the Continental! Khanga moko tepetepe, utajibeba mwenyewe mie simo!
http://youtu.be/klMUOPAZyrI
Idara ya sanaa- CHADEMA Taifa inakuletea siku ya mziki na siasa, tamasha hilo litafanyika tar 11/3/2015 j/tano
club bilcanas posta.
Wasanii watakao pamba tamasha hilo ni;
Afande sele,
Pro j...
Japo mwaka ndo uko mwanzo ila hii ngoma wana wamefanya kweli,kiasi fulani nauona mziki wetu ukielekea kule nako kufikiria siku zote, sio Nigeria sijui Afrika magharibi ninini huko.
Ila wakongwe...
Akiwa amejisifu kuwa alipumzika nje takribani miaka mitatu huku akiwa tayari ashafika level za international ikiwemo kile anakisifia sana kufanya Kolabo na R. Kelly (One8), bado amerudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.