Makali ya huyu kijana yameanza kuisha, sio muda mrefu asipojicheki atashuka hadi ajishangae, huu mziki hakuna anaekaa forever, walikwepo kina Mr. Nice, Juma Nature, Matonya, Hussein Machozi...
DOWNLOAD MIZIKI YA BONGO FOR FREE AU NUNUA ILI KUWAPA MOYO WASANII WETU WA BONGO. SEARCH MSANII UNAYEMPENDA NA KUPAKUA NYIMBO ZAKO..HIYO SITE NDO HABARI YA MJINI...
V for Vendetta, ni filamu kali yenye inspiring political quotes.
Its a never miss, unstoppable movie.
EG
Artists use lies to tell the truth. Yes, I created a lie. But because you believed it...
Kama kuna wimbo diamond alipatia sana ni ukimuona... Melody nzuri, beat nzuri na mashairi mazuri jamaa inabidi arudi kwa producer wa manecky.
Sasa leo nimesikia guiter version kaimba bella ni tamu...
Kama wewe ni mguswa wa wimbo wa Mdogo Mdogo wa Diamond, basi hapa chini ni video ikionyesha pilika pilika za utengenezaji video ya mdogo mdogo.
http://youtu.be/3mD1Sv-p7cI
Nyota ya mwanamuziki Diamond platnumz inazidi kung'aa baada ya jana tareh 7/02/2015 kunyakua tuzo nyingine nchini Uganda.
Diamond alishinda kipengele cha msanii bora wa Afrika Mashariki ambacho...
Hawa jamaa wako vizuri, kila ngoma wanayotoa kali. Nasikiliza wimbo wao mpya 'Safari', ni nzuri kwa kweli. In short, game ya Bongo wanaiweza, watasavaivu muda mrefu wasipotengana!
Nyimbo mpya ya Diamond Chibu inayokimbiza town kwasasa ni special kwa Madam Wema na project part II ya Diamod na Wema; sikiliza kwa makini hiyo nyimbo utajua kitachofuata kwa vijana hao machari wa...
Uongozi wa muziki nchini marekani unao muongoza msanii wa R&B Chris Brown umetoa taarifa kwa uongozi wa muziki Tanzania unao muongoza msanii kutoka Tanzania ALI KIBA msanii ambae yupo chini ya...
https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=177707&d=1408090155
Mashairi:-
Vuma
We mama mkaa ndanii, Toka nje usikiee,
Kutwa we kila siku ndanii, Toka basi usikiee.
kuna habari...
1.move bitch - Ludacris, mistycal an 20
2.all of above - Maino f. T Pain
3.in da club - 50 cent
4.make it clap - busta rymes f. Flip mob squad
5.back up - been man
6.fiesta-R.kelly...
Ilikuwa Majira ya saa nane alfajiri wakati nilipopigiwa simu na mkuu wangu wa kazi inspekta Haruni Majimoto,ndo Kwanza Usingizi Ulikuwa Umeanza Kunoga wakati mke wangu aliponiamsha,Japhet,Japhet...
Habari wana jamvi. Natafuta nyimbo za mwanamziki Caz T aka mwana wa komba. Ki ukweli nimezimiss sana hizo nyimbo. Yeyote mwenye taarifa mahali zinapatikana tafadhari anisaidie. Naomba ukijibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.