1. Afande Sele
2. Mr 2
3. Prof J
4. 20%
5. J MO
6. J. Nature
7. Jide
...........
Afande Sele ndio msanii mwenye nyimbo zenye ujumbe zaidi unaoweza kusikilizwa na rika zote, na ujumbe...
February 6, 2015 marks what would been the 70th birthday of Bob Marley. And nearly 34 years after his cancer-related death in 1981, the reggae pioneer's songs of love, dissatisfaction, peace, and...
Habari zenu wana jamvi!!!!
kwa wale wanaopenda music wa HIP HOP ebu tupia mistari unayoipenda sana na kisha mtaje aliyeimba
mfano.
'maisha ni safari,ambayo imekwisha kwa zake juhudi...
Kwa wanandoa mkipata huu wimbo sikilizeni...Mimi hua unanigusa sana nikihudhuriaga harusi pale watu wanapojifunga na ma sweet heart wao.
Download hapo chini;
Huyooo ni chaguo lako
Umeomba...
Kutokana na mashairi ya nyimbo zake na matukio yanayomtokea mwimbaji Judith Wambura (Lady Jaydee) vinaonyesha kuwa binti huyu ana shiida ya mahusiano mwanzo mwisho. Anaonekana kuwa ni binti ambaye...
TID kwa Q Chief : "Kaanzisha bendi yake ikwapi? hana hata gitaa vitu vyote kauza... am not stupid yeye ndio stupid,"
Baada ya siku ya jana kujibiwa na Q Chief juu ya coment aliyoitoa baada...
Best supporting actor
WINNER: JK Simmons for Whiplash
Robert Duvall for The Judge
Ethan Hawke for Boyhood
Edward Norton for Birdman
Mark Ruffalo for Foxcatcher
Achievement in costume design...
Moja ya vitu navyokua najiuliza bila majibu ni
pale napoangalia filamu za wenzetu mataifa tajiri/
duniani. Utaona wanatumia vitu vya thaman sana
kuigizia na wanaviharibu haribu mfano utakuta...
Mpaka sasa kwenye sikio langu sijasikia wimbo mkali wa kuachwa wenye hisia kama wa Kassim uitwao Awena.
Jamaa kwenye huu wimbo amelalamika, amelilia mapenzi vibaya mno, yale mashairi yanaweza...
Jamani naomba niulize, ni studio gan/ producer gan wa mziki hapa bongo mwenye kiwango cha juu karibia na kimataifa, anayeweza kutengeneza miziki mizuri ya RnB, POP, RocknRoll na Soul? Anaitwa nani...
Hatimae kampuni maarufu ya kitanzania ya kuhusu models na fashion kwa ujumla hatimae Leo kuzindua application Yao Playstore kuwezesha mashabiki na wateja wao kupata booking za photoshot na...
Film ya Selma ambayo kwa kifupi inaelezea maisha ya Martin Luther King Jr (Mmarekani na siyo Martini Luther Original wa kilutheri) yule mpigania Haki za Wamarekani weusi huko Marekani naona kama...
IMEKULA kwake!
Wasanii wa sinema na Bongo Fleva wamemchana vibaya staa wa muziki wa kizazi kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond' kwamba si mtokaji kwenye misiba ya wenzake.Wakizungumza na...
Nani atabisha? Walikuepo akina Irene Sanga na akina Mpoto, wakatuamsha, tukawafuata, tukaburudika, tukajifunza!!
Lakini ghafla wamebadilika, nyimbo zile za kutuamsha zimebadilika na kuturudisha...
Zanzibari butterfly to host an alluring Fashion Night In
The countdown has begun as the fashion world and Tanzania prepares itself for an evening of style like never seen before. Dubbed the GO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.