LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 19,481
- 36,632
Natazama Cloud TV hapa naona Kalapina ana host kipindi kinaitwa " HARAKATI NA KALAPINA " a.k.a TANZANIA BILA DAWA ZA KULEVYA INAWEZEKANA.
Da nikikumbuka enzi hjizo 2004/2005 Pina alivyo rejea kutoka Dubenga, ye na troup yake walikuwa na bifu kubwa sana na Clouds Media. Sasa hivi ndo maswahiba... AMA KWELI CLOUDS HAWANA ADUI WA KUDUMU
Da nikikumbuka enzi hjizo 2004/2005 Pina alivyo rejea kutoka Dubenga, ye na troup yake walikuwa na bifu kubwa sana na Clouds Media. Sasa hivi ndo maswahiba... AMA KWELI CLOUDS HAWANA ADUI WA KUDUMU