Home Boy wangu Ali Kiba na matangazo clouds

Home Boy wangu Ali Kiba na matangazo clouds

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
63,449
Reaction score
127,624
Haya matangazo yanayokwenda hewani kila sekunde, dakika na saa Clouds TV ya kuhusiana na matamasha yako ya uzinduzi kama siyo utambulisho wako wa single yako ya "Cheketu Cheketua".

Huko Mikoani umeyalipia wewe au ndiyo yanapigwa sana kisha nyomiI likiwa kubwa ndiyo wao wanajilipa halafu wewe Unaachiwa vumbi tukwa pes kidogo.

Naomba kujua ni kwamba wewe ndiyo umetaka yachezwe kwa wingi huo au wanakulipa kupitia jasho na mgongo wako
Wadau wa Ali Kiba na wale wenye uchungu wa unyonyaji wa wasanii wetu wa kibongo

Karibuni.
 
watabaki kujitapana vigari vya hela kidogo tu, hamna future wala nini....? inatia huruma sana...!

Mkuu Kwahiyo Mafanikio Yao Ni Kununua Tu Magari Na Nguo? Kama Kweli Ni Hivi Basi Wasanii Wa Kibongo Wanahitaji Counseling Ya Kutosha.
 
Mkuu Kwahiyo Mafanikio Yao Ni Kununua Tu Magari Na Nguo? Kama Kweli Ni Hivi Basi Wasanii Wa Kibongo Wanahitaji Counseling Ya Kutosha.
nakwambia jamaa wanahitaji elimu ya kutosha japo wengine hapa wanaona tukisema ukweli kama tunawaponda vile...lakini hawa jamaa wanahitaji elimu ya kujitambua hasa....
 
Ubunifu ni nini ?

Before uliwahi Kuckia maneno "chekecha cheketua" ?

Nimewahi kusikia tena zamani sana na hiyo rythm ni common sana, hakuna jipya kwenye hiyo chekecha cheketua. Ok, watu wanachukuaga vitu ambavyo tayari vipo kama alivyokuwa akifanya Mr. Nice ila ubunifu wake ulifanya nyimbo kuonekana nzuri.

Kwa ufupi, kwa mtazamo wangu, huu wimbo wa ali kiba wa chekecha cheketua ni mdogo sana. Ingekuwa zile enzi za santuri na kanda ningesema unafaa kujaziliza nafasi iliyobaki lakini si wa kututoa mapangoni.

Na yumkini ndio maana matangazo yamekuwa mengi kila sasa kila saa mpaka nimechoka. Kizuri kinajiuza bhana. Chekechaaaa cheketua...hiyo tu? bado sana.
 
Nimewahi kusikia tena zamani sana na hiyo rythm ni common sana, hakuna jipya kwenye hiyo chekecha cheketua. Ok, watu wanachukuaga vitu ambavyo tayari vipo kama alivyokuwa akifanya Mr. Nice ila ubunifu wake ulifanya nyimbo kuonekana nzuri.

Kwa ufupi, kwa mtazamo wangu, huu wimbo wa ali kiba wa chekecha cheketua ni mdogo sana. Ingekuwa zile enzi za santuri na kanda ningesema unafaa kujaziliza nafasi iliyobaki lakini si wa kututoa mapangoni.

Na yumkini ndio maana matangazo yamekuwa mengi kila sasa kila saa mpaka nimechoka. Kizuri kinajiuza bhana. Chekechaaaa cheketua...hiyo tu? bado sana.

Aaah! kumbe zamani sana sasa Mimi na wenzangu ndio tumelickia kwake

Kupiga matangazo ya show za chekecha cheketour ndio ww unachoka
Unaijua biashara ww?
 
Back
Top Bottom